masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,827
- 16,913
was this or type??
ni kitabu gani
was this or type??
Inatoka kitabu gani tuhakikishe
ni kitabu gani
Samahani hiyo biblia ni ya vision gani?
Hilo andiko liko wapi kwenye Biblia?
Nipe ni mstari ktk bible?
Hicho kitabu kinaitwa SIRA katika vitabu vilivyoondolewa katika baadhi ya Biblia ila Biblia Toleo la KATOLIKINi kitabu gan na mstari upi?
Hicho kitabu kinaitwa SIRA katika vitabu vilivyoondolewa katika baadhi ya Biblia ila Biblia Toleo la KATOLIKI
Vitabu hivyo vinaitwa vitabu vya Deuterokanoni
Hivi vitabu sijui ni kwa nini viliondolewa, lakini Biblia hizi bado zipo mitaani hata Chama cha Biblia wanakiuza kitabu hicho
- Tobiti
- Yudithi
- Hakima za Solomoni
- Hekima ya Yoshua Mwana Sira (Eklesiastiko)
- Bakuku
- Wamakabayo
Ukifatilia kuhusu historia ya biblia tafahamu kwamba vitabu vilivyopo vilitokana na Mkutano wa Viongoz wa Kanisa huko Uturuki ambapo walikubaliana kuhusu utaratibu wa kufanya misa na vitabu vya kutumia. Hapo zamani vitabu vyote vilitoka katika maandiko yaliyotolewa katika lugha ya kiebrania except hivi 7 vilikua katika lugha ya kigiriki. Wakati Luther anaanzisha kanisa lake alivitoa hiv vitabu kwenye bible ingawa alikiri kwamba vina mafundisho ya msingi kwa ajili ya wanadamu.