ni fanye nin kuhusu mke wangu?

ni fanye nin kuhusu mke wangu?

Damas peter

Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
 
lol...pole sana kakaangu kwa mkasa ulokupata ngoja nilale nisubiri asubuhi waje wanisaidie kukushauri duh.....so sad kwa kweli.
 
hebu iiandike vema.
umemkuta mkeo ana mimba
then ndio ukapeleleza ukawakuta?
sasa ulitegemea nini kumwacha miezi yote minne? wewe huko hukugegeda mtu?
umeshajua ni mimba ya miezi mingapi? kama ni miezi 4 na zaidi itakuwa yako
 
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie

hapo nilipopiga rangi nyekundu ndio genesis ya matatizo yako...infact u made two mistakes. kwanza hela huna alafu ukaenda mbali.... recipe ya kugegedewa mke mwanawane!! soma signature yangu upate maujanja.

sasa kama best frend kakugegedea mke wako chakufanya mwanawane wewe ni kwenda na mkeo kwa besty mumgegede wote wawili (threesome)..sii anapenda mtalimbo yenu wote...and make sure wewe unamla kabang
 
Ngekushauri umwalibie ama umkate kidevu huyo best yako lakini its nt worth it..chamsingi fukuza,move on fanya yako..wanawake wapo tu we tafuta pesa tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
duh! Inasikitisha sana,cha msingi ni bora umuachie tu huyo best wako afu tafuta mwingine, ila jitahidi kutokua chanzo ya yeye kutoka nje ya ndoa,namaanisha yacjirudie kama yale ya mke wa kwanza
 
Dawa moja nzuri ni kuachana nae na kuangalia maisha yako, wameshatenda. Wewe Muombe Mungu akuongoze na maumivu unayoyasikia omba waje wakukumbuke siku moja.

Kama hamna watoto basi usiwe na wasi, duh mie naona bora mtu usiemjua akakutenda ila besti wako inauma sana.

Ukiwanyamazia bila kugombana nao na kupigisha kelele watakaa milele wajiulize vipi, we waambie unajua na mkeo vimeisha. hapo rafiki yako atakua amemweleza visiri vyako vya pembeni kama unavyo etc.

Panga mambo yako kimya ya kikazi na kuama kama ulienda Arusha basi labda unaweza kuhama, then ondoka mwenyewe usijali kodi atajilipia au ataama ikiisha kama mnapangisha. Kama kwako umejenga kwa pesa yako mtimue.

Pole sana.
 
Pole sana bro. Kama kweli umethibitisha hiyo mimba siyo yako na haya uliyoyaandika ni ya kweli. Basi ni vema ukamwacha mkeo aendelee na rafiki kumbuka kuna wengi yamewakuta yaliyokukuta usigombane kuwa mpole tu. Kama mchangiaji mmoja hapo juu amekushauri kukaa kimya kunalipa na wao watajiuliza milele kulikoni. Ugomvi wa mapenzi si jambo jema rafiki mwache aende zake kakupunguzia mengi na kama mna watoto tafuta njia ya kuwatunza huyo mdada hata ukimsamehe hawawezi kuachana coz wanapendana hao utaja ua bure.
 
Mkeo siyo muaminifu na yupo after money! Fanya maamuzi magumu ambayo yatakuweka huru kwa siku zako za usoni utakazoendelea kuwepo duniani.
 
Bado Unampenda mkeo?
mna watoto?
Mlifunga ndoa?
Kama haya yote jibu lake ni HAPANA, achana naye
 
Endelea na maisha yako tu mkuu,piga moyo konde.
 
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie

Pole sana kaka, najua ni jinsi gani inavyouma, chukua muda utulie kwanza kabla haujafanya maamuzi
 
Damas peter uzinzi ni sababu tosha ya wewe kuvunja ndoa yako. Kama unaweza kuvumilia uzinzi wa mkeo, basi endelea nae, pia sio mbaya ukimtunzia mshikaji wako mtoto
Tulishi kwa amani upendo furaha baada tu ya kumaliza mktaba wangu na kampuni ya GGM mkoani Geita mke wangu alibadilika sana akawa na mazoea na rafiki yangu sikujali sana maana ilikuwa kawaida sk baada sk mambo ya kifedha kwangu hayakuwa mazuri nikaenda A town kutafuta riziki baada ya miezi 4 naludi nyumbani namkuta mke wangu ni mjamzito nikapeleleza nikagundua ni ya rafiki wangu kipenzi tena kwa macho yangu na masikio yangu nawaona wakiwa wamelala wakifanya mapenzi sebuleni kwa rafiki yangu. Je nifanyeje? Naombeni mnisaidie
 
Last edited by a moderator:
Umaskini mbaya aisee,,,Pole sana ndugu.
Kuna jamaa alifumaniwa na Mke wa mtu mbona alilishwa Ugali na mboga ni BA.O za jamaa.
 
Bado Unampenda mkeo?
mna watoto?
Mlifunga ndoa?
Kama haya yote jibu lake ni HAPANA, achana naye

Haya maswali mazuri sana. Ndio yanaweza kutoa majibu ya nini kifanyike kwa mleta mada.



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom