Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Heshima kwenu waungwana
Mara nyingi tunapoingia kwenye mahusiano ya kimapenzi huwa hatufikirii kuachana ila suala la kuachana hutokeaga kama bahati mbaya tu kutokana na sababu mbalimbali.
Binafsi ninapoachana na mwanamke faida kubwa ninayoipata ni kutumia pesa yangu peke yangu.Nasema hivyo kwasababu mpenzi ambae nimeachana nae anakuwa hayupo kwenye bajeti zangu kabisa.
Hasara kubwa nitakayoipata ni kukosa mtu wa kufanya nae mapenzi na kupunguza genye zangu kwa muda flani hasa kama mpenzi nilieachana nae alikua yeye peke yake bila ya kuwa na msaidizi wake (mchepuko)
Je wewe huwa unapata hasara gani na faida gani pindi uachanapo na mwenzi wako ?
Mara nyingi tunapoingia kwenye mahusiano ya kimapenzi huwa hatufikirii kuachana ila suala la kuachana hutokeaga kama bahati mbaya tu kutokana na sababu mbalimbali.
Binafsi ninapoachana na mwanamke faida kubwa ninayoipata ni kutumia pesa yangu peke yangu.Nasema hivyo kwasababu mpenzi ambae nimeachana nae anakuwa hayupo kwenye bajeti zangu kabisa.
Hasara kubwa nitakayoipata ni kukosa mtu wa kufanya nae mapenzi na kupunguza genye zangu kwa muda flani hasa kama mpenzi nilieachana nae alikua yeye peke yake bila ya kuwa na msaidizi wake (mchepuko)
Je wewe huwa unapata hasara gani na faida gani pindi uachanapo na mwenzi wako ?