Ni deo gani huyu?????????????

Ni deo gani huyu?????????????

Du sasa huyu mtimbichi kaleta taharifa alafu katuambia hatakai maswali du anaonekana anamjua mshkaji kwa karibu
Huyo demu si ndio anaitwa siwema,marehem Ngewa alikuwa anapiga hapo then ney akachukua mzigo....hakajatulia hako kabinti longtyn kanapiga picha mby fb huko
 
Huyu jamaa anaitwa deogratius kumalija ni bosi flani pale EWURA upande wa fedha ni mfanyabiashara pia wa mambo ya mashine za tiba asili zinaitwa CERAGEM na mwaka juzi alifiwa na mkewe kuna picha zake hapa lakini nashindwa kuzitupia ila ukiingia Istagram kwa ney utamkuta kajaa tele ndio kampiku mshkaji demu wake ndio ivyo asanteni sitaki maswali .

Deogratius -k.u.m.a--- LIJA....hvi hli jina kweli
 
Ndio maana jamaa kwenye interview nyingi huwa anaponda watu wazima kuchukua mademu zao lakini ndivyo tena mwosha huoshwa pia maana hata yeye kuna mtu alimnyang'anya sema hana jina ndio maana haikusikika
 
Mwenye izo picha tupia humu tumjue huyo jamaa walahi tunahamu
 
vip unashida naye??? ukimpata nijulishe na mimi
 
Demu malaya yule balaa! Kahongwa verosa na huyo kigogo nae kamhonga Boya Ney!
 
Back
Top Bottom