Athumani kinglop
New Member
- Jul 21, 2016
- 3
- 0
Mm ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana na nimepata div. IV ya 26 ninatafuta vyuo vya ualimu vya kujiunga, lakini vyuo vingi wanasema wanapokea mwisho div. III je, hakuna chuo ambacho kinatoa mafunzo ngazi ya cheti na kinatambulika na serikali ili nikajiunge nacho ili niweze kujiunga na diploma? Tafadhali anayekijua chuo husika anijuze wakuu.