Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 4,953
- 6,071
Miaka imeenda sasa, wazazi walitengana muda sana, imefika muda wa sisi vijana wao kuwatunza na kuwapatia mahitaji madogo madogo.
Changamoto inakuwa kubwa hasa kama wazazi hawako pamoja na unapaswa kuwasaidia yaani ukipata chochote usema utume upande wa Mama upande mwingine unalalamika kwamba huwajali huwathamini, vice versa kwa upande mwingine.
Kama wangekuwa pamoja ni rahisi kwamba unachotuma kitawafaa wote kwa pamoja. Yote kheri sina tatizo na kuachana kwao maana maisha ya ndoa yana changamoto nyingi, kuna muda unawaza nimjengee Mama vyumba 2 baba nae akisikia nae anataka kujengewa vyumba 2 pesa hakuna aisee na haitoshi.
Kipato ni kidogo mara kusomesha mara familia, ndugu, jamaa mara wazazi aisee nanga inapaa.
Changamoto inakuwa kubwa hasa kama wazazi hawako pamoja na unapaswa kuwasaidia yaani ukipata chochote usema utume upande wa Mama upande mwingine unalalamika kwamba huwajali huwathamini, vice versa kwa upande mwingine.
Kama wangekuwa pamoja ni rahisi kwamba unachotuma kitawafaa wote kwa pamoja. Yote kheri sina tatizo na kuachana kwao maana maisha ya ndoa yana changamoto nyingi, kuna muda unawaza nimjengee Mama vyumba 2 baba nae akisikia nae anataka kujengewa vyumba 2 pesa hakuna aisee na haitoshi.
Kipato ni kidogo mara kusomesha mara familia, ndugu, jamaa mara wazazi aisee nanga inapaa.