kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Hakuna kitu kinacho umiza moyo kama kumpenda mwanamke zaidi ya anavyo kupemda. Mwenzenu Mimi nimewahi kumpenda mwanamke mmoja kipindi cha nyuma hapo mpaka nilifikia hatua nisipo muona nyumbani kwao Na zunguka Kijiji kizima kwenda Na muulizia tu labda Kuna mtu yeyote kumuona Mahali aniambie.
Nilikuwa Na wivu wa kupitiliza mpaka nilikuwa nakera. Siku ambayo alikataa nilipatwa Na ugonjwa wa panick attac kwasababu ya mawazo nilikuwa kama kichaa.
Kwasasa sinaga moyo Tena wa kupenda
Nilikuwa Na wivu wa kupitiliza mpaka nilikuwa nakera. Siku ambayo alikataa nilipatwa Na ugonjwa wa panick attac kwasababu ya mawazo nilikuwa kama kichaa.
Kwasasa sinaga moyo Tena wa kupenda