Ni bora kuwa 'kauzu'(mkaksi) katika maisha?

Ni bora kuwa 'kauzu'(mkaksi) katika maisha?

unacheka unamana gani

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
472
Reaction score
484
Hello wanajamii, kuna watu humu ambao maisha yao halisi ni yale ya 'kikaksi' yaani wanasalimiana vizuri na watu, wanasaidia pindi waombwapo msaada, wanajumuika katika shughuli za kijamii n.k, lakini hawataki mazoea zaidi.

Yaani sio ajabu kukawa na 'issue' ya kuchekesha ila wao wasicheke; hawapendi kuongea ongea, hali inayosababisha kutafsiriwa vibaya na watu wengi wenye uelewa mdogo kuhusu aina hii ya watu.

Na wakati mwingine mpaka wasichana huogopa kuanza kujenga nao urafiki wanaume wa aina hii, vile vile na kwa wanawake wa aina hii.

Sasa je, Gentamycine, Jabali la karne, jidu la mabambasi, jana ulirudi usiku, na wengineo wengi. Ni changamoto gani mnazopata kwa kuwa 'kauzu' katika jamii zetu za kitanzania?
 
Hello wanajamii, kuna watu humu ambao maisha yao halisi ni yale ya 'kikaksi' yaani wanasalimiana vizuri na watu, wanasaidia pindi waombwapo msaada, wanajumuika katika shughuli za kijamii n.k, lakini hawataki mazoea zaidi.

Yaani sio ajabu kukawa na 'issue' ya kuchekesha ila wao wasicheke; hawapendi kuongea ongea, hali inayosababisha kutafsiriwa vibaya na watu wengi wenye uelewa mdogo kuhusu aina hii ya watu.

Na wakati mwingine mpaka wasichana huogopa kuanza kujenga nao urafiki wanaume wa aina hii, vile vile na kwa wanawake wa aina hii.

Sasa je, Gentamycine, Jabali la karne, jidu la mabambasi, jana ulirudi usiku, na wengineo wengi. Ni changamoto gani mnazopata kwa kuwa 'kauzu' katika jamii zetu za kitanzania?
Tabu tupu
 
Hello wanajamii, kuna watu humu ambao maisha yao halisi ni yale ya 'kikaksi' yaani wanasalimiana vizuri na watu, wanasaidia pindi waombwapo msaada, wanajumuika katika shughuli za kijamii n.k, lakini hawataki mazoea zaidi.

Yaani sio ajabu kukawa na 'issue' ya kuchekesha ila wao wasicheke; hawapendi kuongea ongea, hali inayosababisha kutafsiriwa vibaya na watu wengi wenye uelewa mdogo kuhusu aina hii ya watu.

Na wakati mwingine mpaka wasichana huogopa kuanza kujenga nao urafiki wanaume wa aina hii, vile vile na kwa wanawake wa aina hii.

Sasa je, Gentamycine, Jabali la karne, jidu la mabambasi, jana ulirudi usiku, na wengineo wengi. Ni changamoto gani mnazopata kwa kuwa 'kauzu' katika jamii zetu za kitanzania?
HALAFU HUU UZI MBONA NI MARUDIO YA HUU HAPA Kuna 'makauzu' humu?
 
Ukauzu haumkoseshi mtu michongo acheni kudanganya bali huleta mafanikio na heshima lakini si mara zote . Kama kuna kazi ya kufanya basi ni muda wa kazi. Ukiona watu wanabana michongo kisa ukauzu wako ujue tu hao ni wivu na unoko tu maana watu soft hupenda mambo ya kipuuzi sana. Ila ninachopenda watu wengi waliofanikiwa ni kauzu na wanaheshimika
 
🤣🤣🤣🤣
Kuna jamaa ni mgumu kinoma mpaka akikosea masupervisor wake wanaona haya kumsema sasa ni mkubwa serikalini ameoa ila Hanaga mazoea na mtu michango watu wametoa 50k yeye anakuja 100k halafu kweny harusi haendi
Nilichongua huyu jamaa hapatagi kesi na ovyo wala kukosana na mtu maana yupo serious na anajua kweli .Hanaga mazoea kucheka anacheka ila kupiga nae soga ndo mtiti Hanaga ushindani kwenye kazi anafanya kazi ziishe ndo kilimpa cheo
 
Back
Top Bottom