Suala la watu kuhama chama ni haki na ni kitendo cha kidemokrasia. Ni demokrsia gani ninyi mnaipigania? Je Lowassa alipohamia CDM na kupewa kile anachotaka licha ya hao hao CDM kumsema kwa makando kando mengi aliwalipa kiasi gani? Vp kuhusu Kuhama kwa Makongolo Mahanga mlimlipa sh ngapi, Lembel je? Nyalandu? Rwakatare? Paulina Gekul, Ruth Molel, Masha, taja kwanza bei mliowanunulia ndo useme mmewauza kwa kiasi fulani!Kuhangaika kununua watu si kuhangaika?. Kweli we BWAKILA