lukinga01
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 414
- 381
Mh! Huyo yuko sirius kweli kweli. Kitu inavutia hata kwa macho. Pesa zipo ni ubunifu na bidii ndio vinatuponza. Ahsnte kwa kushare nasi hii kitu.Apo mwenge kuna jamaa anauza uji elfu 3 kwa elfu 5 na anapiga pesa kwa makadirio tu jamaa anakunja ata 100k kwa siku kama faida sio mauzo nimeweka apa product yake uone ilivyo uji wa mchele uo na anaulezi pamoja na uji wa mahindi na muhogo unaitwa sterkView attachment 1269273