Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

Biashara biashara..chamoto haswa

Tatizo letu kubwa hua hatui na taarifa sahihi tunapofanya maamuzi hasa ya kwenye kilimo , hapo tu...ukiwa na elimu sahihi na taarifa sahihi, tayari uko nusu ya safari, hata maamuz utakayofanya hayawi sawa na kubeti, una uhakika % fulani, umeacha unajua n kwann umeacha, ama ukiingia shamba unakua unajua fika na uko aware na unachoenda fanya

Hii mm nabisha!mie had wataalam w humu kina kilimo maarifa...kila dawa walikuwa wanashauri wenyewe..tikiti likatoka zuriii...sokoni sasa!unakutana na fuso 12!jana nimeenda sokoni nikakita fuso km 8zinashusha kabeji😎..na huku miaka mi5 nyuma kabeji y kiangazi hukosi faida 1.3m!..sio kutatget season wala soko...mambo yamebadilika tu!
 
Mkuu soko letu la kilimo halina utafiti, linabadilika dakika moja. Hebu toa mfano halisi wa kufanya utafiti wa soko then ndio uuze. Labda kuna sehemu tunafeli.

Mfano
Unafanya utafiti wa Tangawizi unakuta bei nzuri Nairobi, Unalima mara Serekali imekataza kuuza Kenya. Hasara


Nakubaliana na ww mkuu!hatuna stable market bado!kumbuka miaka ya hapo juu kidg kitunguu cha feb..subiria mwakani km kitunguu kitakuwa hot hakuna..ikizid saaana 1800@kg!
 
Watu wa ajabu sana! Elf 8 au 7 kwa siku, Mtaji shilingi 2,400,000..
Hizi ni akili za kilemavu..
Muuza mishikaki anauza stick 100 kwa siku..
Bei ya stick moja ni 200.
Jiko ananunua 25,000
Nyavu 3000
Chumvi 500
Pilipili 1000.
Stick moja ya chuma 200.
Nyama 7,000.
Na anapata 20,000 kwa siku..
Ukitoa matumizi anabaki na 10,000 faida... Anazidi hiyo bodaboda kwa mtaji wa 40,0000 tu...

Aya tuje kwenye mayai ya kuchemsha.
Trei 6,500
Mkaa 1,000
Maji ya kuchemshia 100.
Chumvi 500.
Kwa uuzaji wa kutembeza mtu kiwango cha chini huuza trei 3mpaka 4 kwa siku..
Bei ya kuuzia 400.
Mapato kw trei 1 = 9,600
9,600×4= 38,400.
Mtaji 15,000
Faida 23,400...
Ukimlipa kijana 7000 au hata 10,000
Wewe unabaki 16,000-13,000..
Si faida ya pikipiki mbili hizo, na haiitaji service..
Cha ajabu, Mtaji haufiki 30,000... Mara 90% ya samani ya pikipiki na stress juu...
Kama na wewe unao mchanguo mwingine weka chini.. karibu..
Umeanalyse vizuri mkuu
 
Wala hujabisha, umeunga tu mkono sema hujajua, ukifanya utafiti wako si lazima utakua na conclution ambayo itakusaidia kufanya informed choices sio ?

Kiwepes tu you can easily see matitiki haikua biashara ya kuingia , ilisha haribika tayari..so unaenda kwenye wazo jingine
Hii mm nabisha!mie had wataalam w humu kina kilimo maarifa...kila dawa walikuwa wanashauri wenyewe..tikiti likatoka zuriii...sokoni sasa!unakutana na fuso 12!jana nimeenda sokoni nikakita fuso km 8zinashusha kabeji..na huku miaka mi5 nyuma kabeji y kiangazi hukosi faida 1.3m!..sio kutatget season wala soko...mambo yamebadilika tu!
 
Wala hujabisha, umeunga tu mkono sema hujajua, ukifanya utafiti wako si lazima utakua na conclution ambayo itakusaidia kufanya informed choices sio ?

Kiwepes tu you can easily see matitiki haikua biashara ya kuingia , ilisha haribika tayari..so unaenda kwenye wazo jingine

Sio kwa tikiti tu best..wakulima wa njombe wnaakumbuka sana ishu za tangawizi ...ilivyporomoka ghafla kuja chini mno!mifano ni mingi tu
 
Hapana!sijawah sikia limeyumba..!
Huo n mfano wa stable market na nyingine nyingi tu....shida ya haya mazao ya aina hii, haya promise ile get reach qucky ndio maana hayavamiwi hovyo hovyo...na yatadumu hvyo hvyo..gunia moja kwa hapa dsm linaweza gonga 280k au hata zaid.. Ila kwenye heka zinatoka gunia 5 mpaka 8..faida ipo ila sio ile super profit.. Kuna karanga ulitaja... Viazi pia

Viazi soko linayumba mara kwa mara lakn sio kwa zaid ya tofuat ya elfu 10 kwa roba kubwa lile ...so ina range sehemu nzuri , soko lake liko throughtout the year hata soko lijae gari nyingi vipi unauza...

So swala la mtu kukaa chini kufanya utafiti wa kutosha ni muhimu mno , ukitoka hapo ukiwa kamili , ukafanya kila kinacho takiwa kufanya unapata kitu,
 
Kwenye hz biashara... Ukishaona tu kila mtu anatia mguu hapo..sio sehemu salama tena, litaharibika tu, mtazalisha kuliko uwezo wa soko hence linaharibika ... Research muhimu ..muhim mno
Sio kwa tikiti tu best..wakulima wa njombe wnaakumbuka sana ishu za tangawizi ...ilivyporomoka ghafla kuja chini mno!mifano ni mingi tu
 
Sauda najua saivi unaparangana zako maana tangu May adi leo na uhakika umeshachomokaga na idea zinazotolewa humu kwenye forums tofauti tofauti.

Najua wapo kina sauda wengine wengi tu humu ila wanaogopa kusema ukweli wanapta wanachukua idea kimya kimya

sasa kwa kuongezea tu kwa kina sauda hao na wengine wataokuja wenye mitaji midogo na wamelenga faida ya 7k-10k

kuna biashara kadhaa hapa naweza zitaja :

1.Uza uji wa ulez + uji wa mchele

hii biashara napenda tu kusema nimeiweka namba moja kwa sababu imekidhi vigezo na mashart,hutojutia bii biashara na ufanyaji wa hii biashara sio wa kukaa sehemu moja eti ufungue mahli ukae usubiri wateja (hapana).

hii biashara ufanyaji wake ni wakuzunguka mguu kwa mguu vijiwe vya boda boda,vya dereva tax,dereva noah,bajaji,dereva virikuu na madukani wewe kazi yako ni kuwafata wateja wako huko huko walipo then unawapa uji.

Muda wa hii biashara ni jioni kuanzia ile saa 12 tunaenda mpka saa tatu mpk nne,angalia na hali ya hewa kipindi cha mvua kila mtu na koti lake biashara ipige kuanzia asubuhi hadi uji wako utapoisha au hadi utakapochoka.

Mahitaji :

thermos 4 @ 25,000
vikombe vya plastic au mfupa vizuriii vya kuvutia bei kikombe 1000 nunua kulingana na wateja wako
blueband 5000
peanut butter 5000
kapu mawili @3000

Unga wa ulezi @ 10,000
unga wa mchele @10,000
mkaa @10,000
sukari kg 2 @2500
vijiko vyako @5000

hela itakayobaki chimbia kwenye sidiria si ndo mnapowekaga hela bwana 🤣 (natania)

anza kazi yako mama,kwa siku ukilaza chini ya 30,000 njoo nitukanie wazazi wangu

biashara ikiwa mbayaaa tena mbayaaa narudia tena mbayaaa ndio utapata pesa aliyoitaka sauda kwenye thread

ambayo utapata faida 7000 - 10,000 (hi n siku biashara mbaya)

kikombe uji 500.
 
2.Uza chipsi kwa wanafunzi

Nimesema chipsi si kwamba mihogo haina faida ila chipsi inafaida mara 5 ya mihogo,kwa mtaji wako utapata mahitaji yote muhimu ya kuanza na hela yakuweka kwenye kibubu itabaki.

mahitaji:

viazi ndoo kubwa @ 25,000
karai la kukaangia @15,000
kuni @10,000 (usitumie mkaa wala gesi hapa ni mwendo wa kuni)
jalo/jaro @5000
visosi/sahani @ 20,000
Meza ya mbao @ 25,000
deli la kuwekea hizo chips @5000
vitu vingine vdg vdg @25,000

anza zako kuuza chips kwa kuanzia 300,500 nakuendelea

faida usipochezea 30,000 kwenda mbele njoo rudi hapa niambie

siku umekosa kosa kabisa hapo watoto hawajaja shule ndo utapata faida aloisema sauda 7000-10000

Tahadhari:

Hii biashara usikae lelemama maana ni biashara ya msimu flani hivi,shule zikifungwa itabdi uwe unajua chakufanya
jumamosi na jumapili unatakiwa pia ujue chakufanya (akili yako isilale)

Utajenga,utasomesha,utaendesha kwa biashara hiii.
 
S

kumbe umejipanga, kuna mdau kasema uende karume uchukue viatu vya mtumba vya wadada kwa elf50 tu

Pia kuna jamaa yangu ye anauza mitandio ya wadada na baadhi ya nguo kwa buku mbili tu, ye anadai mtaji wake ni elf20 na anapata faida elf 50 hadi 70 kwa week, maana yake kila vikiisha anaenda kuchukua mzigo wa elf 20 kisha anatembeza mitaani, huyu nafanya nae kazi maana kuna mingine huwa anatuletea kazini tunanunulia wake zetu
Mzigo anachukulia tandika pale anasema ili upate bidhaa nzuri unapaswa kuwahi saa kumi na mbili kuna duka analochukulia mzigo naweza kukupatia mawasiliano yake akakupa mwongozo
Mwaga hapa mawasiliano ya hao wauza mitandio
 
Nenda maduka ya jumla ya vipodozi vile vya kawaida
Yaani vya bei ya chini
Mafuta ya nazi mnara,
Sabuni za magadi
Mafuta ya nywele na ngozi yale ya 1500
Henna
Chanuo
Vibanio
Sabuni kama family ,mo za kuogea
Zungusha kwenye minada

Dar es salaaam kuna minada siku saba za wiki
Msaada unaweza kuolozesha bmahali minada inapokusa
2.Uza chipsi kwa wanafunzi

Nimesema chipsi si kwamba mihogo haina faida ila chipsi inafaida mara 5 ya mihogo,kwa mtaji wako utapata mahitaji yote muhimu ya kuanza na hela yakuweka kwenye kibubu itabaki.

mahitaji:

viazi ndoo kubwa @ 25,000
karai la kukaangia @15,000
kuni @10,000 (usitumie mkaa wala gesi hapa ni mwendo wa kuni)
jalo/jaro @5000
visosi/sahani @ 20,000
Meza ya mbao @ 25,000
deli la kuwekea hizo chips @5000
vitu vingine vdg vdg @25,000

anza zako kuuza chips kwa kuanzia 300,500 nakuendelea

faida usipochezea 30,000 kwenda mbele njoo rudi hapa niambie

siku umekosa kosa kabisa hapo watoto hawajaja shule ndo utapata faida aloisema sauda 7000-10000

Tahadhari:

Hii biashara usikae lelemama maana ni biashara ya msimu flani hivi,shule zikifungwa itabdi uwe unajua chakufanya
jumamosi na jumapili unatakiwa pia ujue chakufanya (akili yako isilale)

Utajenga,utasomesha,utaendesha kwa biashara hiii.
Asante Controla mchanganuo mzuri Sana shida Vijana Wengi tunapenda biashara Zenye reputation kwa Watu.
 
Back
Top Bottom