Bob Makani mwenyekiti wa pili wa cdm alikuwa mchaga? Na Aman Kaburu aliyekuwa katibu mkuu na Slaa ni wachaga! Acha kuleta hoja na kikabila hapa hazisaidii kujenga umoja wa kitaifa.Sifa nyingine ambayo wengi huogopa kuitaja: Chadema ni chama chenye mlengo wa kikabila. Ni chama cha wachaga na ndiyo maana huwezi kuwa Kiongozi ktk ngazi fulani muhimu kama ya uenyekiti wa chama Taifa, vinginevyo unahatarisha shingo lako. Kamuulize mtoto wa chacha. Hatukitaki chama cha namna hii hapa Tz. Wakipeleke huko kwa "manyang'au" waliozoea kuchinjana. Ala!