Ni akili mbovu kufananisha CCM na Chadema

Ni akili mbovu kufananisha CCM na Chadema

Zee la kitaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2017
Posts
403
Reaction score
211
Kuna wakati ukifuatilia mijadala ya vijana katika mitandao ya kijamii; utaona uwezo wetu wa kufanya uchambuzi wa kutosha ni mdogo katika siasa; uchumi na shughuli za kijamii. Imefikia wakati vijana kutaka kufananisha CCM na chadema bila kutambua mambo matano muhimu:-
  1. Vyama hivi viwili vinatofauti za itikadi na miongozo ya kiutendaji. CCM ni chama kilicho na itikadi ya wananchi. Ni chama kinachoamini itikadi ya wananchi hususani wa hali ya chini. CCM kuanzia kuanzishwa kwake kilijikita kutetea usawa, maslahi ya wanyonge na siasa za kiustarabu. Chadema ni chama ambacho kimejikita katika itikadi ya wananchi katika misingi ya kiuharakati. Ndio maana Lowasa alipoingia chadema alikuwa anawasihi viongozi wa chadema kuacha uwanaharakati na kujikita na siasa za kisayansi. Kwa msingi huo utagundua chadema na CCM ni vyama vyenye maslahi tofaut;
  2. Mfumo wa demokrasia. CCM ni chama ambacho kimekomaa katika mfumo wa demokrasia. Ni chama ambacho kinautaratibu unaoeleweka uliowekwa kwa ajili ya kusimamia demokrasia. Ni chama ambacho kimepitia katika vuguvugu za mabadiliko mbalimbali ya kidemokrasia ukilinganisha na chadema. Chadema ni chama chenye mwenyekiti almost tumuite wakudumu ama mkurunzinza. Chadema kinajinasibu kuwa chama cha demokrasia lakini utendaji wake hauendani kabisa. Mgombea urais anotoka huku leo kesho anatangazwa chadema.
  3. Uimarishaji wa chama. CCM ni chama kilichojiimarisha katika ngazi zote. ni chama ambacho kiko karibu sana na wananchi. kina matawi katika vitongoji na mitaa. Hii itaichukua chadema miaka kadhaa kufikia hivyo.
  4. Matumizi bora ya rasilimali. CCm ndio chama pekee chenye mustakabali wa kuthamini kutambua rasilimali zake zote na kuimarisha usimamiaji kwa manufaa ya chama. Ruzuku za chama hazina migogoro ukilinganishwa na chadema ambapo watu mbalimbali wamejitokeza kuwa na mashaka na fedha za ruzuku za chama.
  5. Kujenga vijana katika uongozi na kusimamia maendeleo ya vijana katika siasa safi. CCM ni chama imara katika kujenga vijana wenye mustakabali wa kushika hitama ya uongozi bora katika taifa hili. CCM hupika viongozi wa badae na hueshimiana katika hilo. CCm inahazina ya viongozi wengi vijana. Chadema ni chama ambacho ingawaje kinatambua kuendeleza vijana lakini kinashindwa kuwasimamia vijana wasimame katika mustakabali wa maendeleo ya rasiliamali ya chama. Wegi wao hukatishwa tamaa na viongozi wao wa juu wanaoteua vijana katika uongozi kwa maslahi yao.
Kuna mengi ambayo unaweza kuzungumzia kuhusu chadema na ccm. Katika mambo ya msingi wa kuongoza taifa chadema wanahitaji muda zaidi kujifunza kutoka vyama vingine vya kisiasa duniani ili kuleta changamoto kwa ccm chama ambacho kimejenga mizizi na hubadilika siku hadi siku kutegemea upepo wa kisiasa unavyoenda. Naomba kuwasilisha.
 
Kuna wakati ukifuatilia mijadala ya vijana katika mitandao ya kijamii; utaona uwezo wetu wa kufanya uchambuzi wa kutosha ni mdogo katika siasa; uchumi na shughuli za kijamii. Imefikia wakati vijana kutaka kufananisha CCM na chadema bila kutambua mambo matano muhimu:-
  1. Vyama hivi viwili vinatofauti za itikadi na miongozo ya kiutendaji. CCM ni chama kilicho na itikadi ya wananchi. Ni chama kinachoamini itikadi ya wananchi hususani wa hali ya chini. CCM kuanzia kuanzishwa kwake kilijikita kutetea usawa, maslahi ya wanyonge na siasa za kiustarabu. Chadema ni chama ambacho kimejikita katika itikadi ya wananchi katika misingi ya kiuharakati. Ndio maana Lowasa alipoingia chadema alikuwa anawasihi viongozi wa chadema kuacha uwanaharakati na kujikita na siasa za kisayansi. Kwa msingi huo utagundua chadema na CCM ni vyama vyenye maslahi tofaut;
  2. Mfumo wa demokrasia. CCM ni chama ambacho kimekomaa katika mfumo wa demokrasia. Ni chama ambacho kinautaratibu unaoeleweka uliowekwa kwa ajili ya kusimamia demokrasia. Ni chama ambacho kimepitia katika vuguvugu za mabadiliko mbalimbali ya kidemokrasia ukilinganisha na chadema. Chadema ni chama chenye mwenyekiti almost tumuite wakudumu ama mkurunzinza. Chadema kinajinasibu kuwa chama cha demokrasia lakini utendaji wake hauendani kabisa. Mgombea urais anotoka huku leo kesho anatangazwa chadema.
  3. Uimarishaji wa chama. CCM ni chama kilichojiimarisha katika ngazi zote. ni chama ambacho kiko karibu sana na wananchi. kina matawi katika vitongoji na mitaa. Hii itaichukua chadema miaka kadhaa kufikia hivyo.
  4. Matumizi bora ya rasilimali. CCm ndio chama pekee chenye mustakabali wa kuthamini kutambua rasilimali zake zote na kuimarisha usimamiaji kwa manufaa ya chama. Ruzuku za chama hazina migogoro ukilinganishwa na chadema ambapo watu mbalimbali wamejitokeza kuwa na mashaka na fedha za ruzuku za chama.
  5. Kujenga vijana katika uongozi na kusimamia maendeleo ya vijana katika siasa safi. CCM ni chama imara katika kujenga vijana wenye mustakabali wa kushika hitama ya uongozi bora katika taifa hili. CCM hupika viongozi wa badae na hueshimiana katika hilo. CCm inahazina ya viongozi wengi vijana. Chadema ni chama ambacho ingawaje kinatambua kuendeleza vijana lakini kinashindwa kuwasimamia vijana wasimame katika mustakabali wa maendeleo ya rasiliamali ya chama. Wegi wao hukatishwa tamaa na viongozi wao wa juu wanaoteua vijana katika uongozi kwa maslahi yao.
Kuna mengi ambayo unaweza kuzungumzia kuhusu chadema na ccm. Katika mambo ya msingi wa kuongoza taifa chadema wanahitaji muda zaidi kujifunza kutoka vyama vingine vya kisiasa duniani ili kuleta changamoto kwa ccm chama ambacho kimejenga mizizi na hubadilika siku hadi siku kutegemea upepo wa kisiasa unavyoenda. Naomba kuwasilisha.
NONSENSE!!!!!!!!!
 
Criteria ulizotumia haziwezi kukupeleka kwenye uwiano sahihi wa kulinganisha ccm na cdm due to the fact that
Chama kutumia movement approach (harakati) ni developmental stage (moja ya hatua katika ukuaji wa chama cha siasa).kuhusu democracy ndani ya chama nadhani uteuzi wa mollel na mtulia umetoa taswira halisi unless uwe out of mind.
main difference according to their originality is ccm ni chama cha mlengo wa kati kulia na chadema ni mlengo wa kati kushoto ila for this time ccm inalazimisha political rejuvenation while it is impossible huku chadema ina attain maturity which is inevitable.
 
Ulivojitahidi kueleza utafikiri CCM haikuwepo wakati miaka 7 iliyopita nchi ilipokuwa ya pili kutoka mwisho kwa umasikini. Pia utadhani ujinga, maradhi, umasikini na majipu yanayotumbuliwa vyote vililetwa na 'chama kilichokuwepo' kabla ya ccm!
 
Ulivojitahidi kueleza utafikiri CCM haikuwepo wakati miaka 7 iliyopita nchi ilipokuwa ya pili kutoka mwisho kwa umasikini. Pia utadhani ujinga, maradhi, umasikini na majipu yanayotumbuliwa vyote vililetwa na 'chama kilichokuwepo' kabla ya ccm!
Lukindo..,

CCM is a dying hoarse...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Makarai ya Zege hayawezi kukujibu kwenye hoja hii zaidi ya kushusha mapovu
 
Umesahau sifa nyingine ya ccm nikuzalisha viongozi wezi mafisadi mashoga wapigaji hongereni naskia mmepokea mwanachama mpya anaitwa nabii Tito
Wanazalishwa viongozi mafisadi kwa sababu kuna jalala la kuwatumbukiza kama hawabadiliki kulingana na misingi ya uongozi ya ccm
 
Kabla sijafungua hii thread nilijua tu nitakutana na utumbo. Hoja za kijinga kabisa ambazo hazipaswi kujibiwa bali kupuuzwa.
Niliposoma jibu lako nikajua linatoka kwa successor wa utupu kichwani.
 
Makarai ya Zege hayawezi kukujibu kwenye hoja hii zaidi ya kushusha mapovu
Hivi nawewe kwaakili zako japo sina uhakika kama kweli unazo hivi unaweza kusimama kutetea uozo unao fanywa Na ccm? Hizi gharama zakununua wabunge Na madiwani+kurudia uchaguzi unahisi zina tija kwa wananchi? Naamini utakuwa unafikilia kwakutumia makalio nawala sio bichwa
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CCM ni kundi flani la matapeli wanaopambana kubaki madarakani ili waendelee kuitafuna nchi. Wao ndio chanzo cha umasikini na shida kwenye nchi hii!

CHADEMA ni kikundi flani cha wahuni wenye tamaa ya mali na madaraka, wanaotumia umasikini na hali ngumu ya maisha ya wa Tanzania kama mtaji wa kuiangusha CCM!

Sadly, we have to choose between the two devils!
 
Kuna wakati ukifuatilia mijadala ya vijana katika mitandao ya kijamii; utaona uwezo wetu wa kufanya uchambuzi wa kutosha ni mdogo katika siasa; uchumi na shughuli za kijamii. Imefikia wakati vijana kutaka kufananisha CCM na chadema bila kutambua mambo matano muhimu:-
  1. Vyama hivi viwili vinatofauti za itikadi na miongozo ya kiutendaji. CCM ni chama kilicho na itikadi ya wananchi. Ni chama kinachoamini itikadi ya wananchi hususani wa hali ya chini. CCM kuanzia kuanzishwa kwake kilijikita kutetea usawa, maslahi ya wanyonge na siasa za kiustarabu. Chadema ni chama ambacho kimejikita katika itikadi ya wananchi katika misingi ya kiuharakati. Ndio maana Lowasa alipoingia chadema alikuwa anawasihi viongozi wa chadema kuacha uwanaharakati na kujikita na siasa za kisayansi. Kwa msingi huo utagundua chadema na CCM ni vyama vyenye maslahi tofaut;
  2. Mfumo wa demokrasia. CCM ni chama ambacho kimekomaa katika mfumo wa demokrasia. Ni chama ambacho kinautaratibu unaoeleweka uliowekwa kwa ajili ya kusimamia demokrasia. Ni chama ambacho kimepitia katika vuguvugu za mabadiliko mbalimbali ya kidemokrasia ukilinganisha na chadema. Chadema ni chama chenye mwenyekiti almost tumuite wakudumu ama mkurunzinza. Chadema kinajinasibu kuwa chama cha demokrasia lakini utendaji wake hauendani kabisa. Mgombea urais anotoka huku leo kesho anatangazwa chadema.
  3. Uimarishaji wa chama. CCM ni chama kilichojiimarisha katika ngazi zote. ni chama ambacho kiko karibu sana na wananchi. kina matawi katika vitongoji na mitaa. Hii itaichukua chadema miaka kadhaa kufikia hivyo.
  4. Matumizi bora ya rasilimali. CCm ndio chama pekee chenye mustakabali wa kuthamini kutambua rasilimali zake zote na kuimarisha usimamiaji kwa manufaa ya chama. Ruzuku za chama hazina migogoro ukilinganishwa na chadema ambapo watu mbalimbali wamejitokeza kuwa na mashaka na fedha za ruzuku za chama.
  5. Kujenga vijana katika uongozi na kusimamia maendeleo ya vijana katika siasa safi. CCM ni chama imara katika kujenga vijana wenye mustakabali wa kushika hitama ya uongozi bora katika taifa hili. CCM hupika viongozi wa badae na hueshimiana katika hilo. CCm inahazina ya viongozi wengi vijana. Chadema ni chama ambacho ingawaje kinatambua kuendeleza vijana lakini kinashindwa kuwasimamia vijana wasimame katika mustakabali wa maendeleo ya rasiliamali ya chama. Wegi wao hukatishwa tamaa na viongozi wao wa juu wanaoteua vijana katika uongozi kwa maslahi yao.
Kuna mengi ambayo unaweza kuzungumzia kuhusu chadema na ccm. Katika mambo ya msingi wa kuongoza taifa chadema wanahitaji muda zaidi kujifunza kutoka vyama vingine vya kisiasa duniani ili kuleta changamoto kwa ccm chama ambacho kimejenga mizizi na hubadilika siku hadi siku kutegemea upepo wa kisiasa unavyoenda. Naomba kuwasilisha.
ccm ndiyo imetufikisha kwenye huu umaskini mwaka 2018. Maji na umeme haujafika vijiji vingi tanzania. Running water and electricity is a sign of development. Maendeleo gani unazungumzia? Sisi wengine hatutaki siasa tunataka mfanye siasa zeni lakini sisi tupate maendeleo.
 
Umesahau sifa nyingine ya ccm nikuzalisha viongozi wezi mafisadi mashoga wapigaji hongereni naskia mmepokea mwanachama mpya anaitwa nabii Tito
Hahaha kama yule shaka ameolewa kabisa na dume jenziwe la ccm pale tanga .ati dume lililomuoa shaka limekatwa kwenye kinyang'anyiro wakati mtoto wa watu shaka akiendelea kurembua hapo lumumba
 
Umesahau sifa nyingine ya ccm nikuzalisha viongozi wezi mafisadi mashoga wapigaji hongereni naskia mmepokea mwanachama mpya anaitwa nabii Tito
Ameshasema sifa ni nyingi hawezi kutaja zote, inawezekana na hiyo imo.
 
Back
Top Bottom