Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,126
- Thread starter
- #41
Akikujibu nistue .Mikutano haramu ni IPI embu tuambie,sababu tunavyojua shughuli za kisiasa zimeruhusiwa kikatiba
Akikujibu nistue .Mikutano haramu ni IPI embu tuambie,sababu tunavyojua shughuli za kisiasa zimeruhusiwa kikatiba
Mda wa Uchaguzi Ulishaisha CHADEMA Mko busy na Mikutano Haramu. Mtapigwa tuu!
Mikutano haramu ni IPI embu tuambie,sababu tunavyojua shughuli za kisiasa zimeruhusiwa kikatiba
Astaghafillulah !Ila yule aliyeolewa Mombasa ni Mbunge wa Jimbo gani Kigoma??Au Bulembo na Pole pole naona.ni wabunge??
Ukiwa myongo usiwe msahaulifu.Akili za Makinikia ni shida kweli kweli mpaka mnaona haya kwa upumbavu mnaoufanya
Thubutu ! Push up atapiga saa ngapi ?Hivi mwenyekiti wa ccm wa sasa hivi anasikilizaga hutuba za mwl,nyerer kweli?
Post sent using JamiiForums mobile app
True ! Ni suala la muda tu .Ccm wanajarbu kujikinga mvua kwenye kivuli cha karanga .
Kuwepo kwake madarakani ni kutokana na msaada wa nje ya uwanja wa polisi ?Ccm haina wala haimiliki polisi bali inaongoza serikali inayomiliki jeshi la polisi na majeshi mengine km magereza uhamiaji n.k.
Ikitoka madarakani chama kitakachoingia madarakani kitalikuta jeshi la polisi na kuongoza serikali kwa mujibu wa sheria huku jeshi hilo likiendelea kureinforce sheria za nchi.
Kuna wakati wasemaji wa polisi wanakuwa kama wasemaji wa ccm , hii ni kwanini ?ni kweli mkuu
Kukaa kwake madarakani ni kutokana sheria zilizopo.Kuwepo kwake madarakani ni kutokana na msaada wa nje ya uwanja wa polisi ?
Inategemea na tafsiri ya msikilizaji wa kinachosemwa lkn ndani ya jeshi la polisi hakuna tawi wala kiongozi wa ccm labda ungetoa mfano ili tujadili.Kuna wakati wasemaji wa polisi wanakuwa kama wasemaji wa ccm , hii ni kwanini ?
Mbwa lazima afuate kile aagizwacho na bwana wakeKuna wakati wasemaji wa polisi wanakuwa kama wasemaji wa ccm , hii ni kwanini ?
Huko Same Mzito sana aliyestafu polisi juzi kaukwaa uenyekiti wa ccm Wilaya , Absalom Mwakyoma kawa Mwenyekiti wa Kata wa ccm , unataka tena ?Inategemea na tafsiri ya msikilizaji wa kinachosemwa lkn ndani ya jeshi la polisi hakuna tawi wala kiongozi wa ccm labda ungetoa mfano ili tujadili.
Hao ni watanzania wana haki zao kikatiba.Huko Same Mzito sana aliyestafu polisi juzi kaukwaa uenyekiti wa ccm Wilaya , Absalom Mwakyoma kawa Mwenyekiti wa Kata wa ccm , unataka tena ?