Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,585
- 217,973
Mwaka 1992 Nchi ya Tanzania iliukubali rasmi MFUMO WA VYAMA VINGI VYA SIASA , ikatungwa sheria mpya ya vyama vya siasa na kuruhusu Kusajiliwa kwa vyama mbalimbali vilivyokidhi matakwa ya sheria hiyo mpya , ili kuviruhusu rasmi kuingia kwenye ushindani wa sera na kuziuza kwa Wananchi kwa lengo la kupigania kuongoza nchi kwa njia ya kidemokrasia .
Nachukua nafasi hii kuwashukuru viongozi wa wakati ule kwa kuruhusu mfumo huu wa kisasa wa kuendesha nchi .
Kwenye kila jambo zuri kuna upande wa ubaya wake , kitendo cha viongozi kuruhusu mfumo huu wa kisasa ikageuka kuwa NDIO KABURI LA CCM nchini , wananchi wakafundishwa jinsi ccm ilivyoleta dhiki na mkusanyiko wa shida zote katika nchi hii , na kwa kauli moja wakakubaliana kuiondoa ccm madarakani , yaliyotokea ni historia .
Baada ya kitendo hicho ccm imestuka na kutambua kwamba HAINA TENA UWEZO WA KUSIMAMA JUKWAANI NA KUWAAMINISHA WANANCHI KATIKA JAMBO LOLOTE , hivyo ikaamua kutumia JESHI LA POLISI KUUA DEMOKRASIA NCHINI KWA GHARAMA KUBWA SANA YA JASHO NA DAMU ZA WAPINZANI .
Yanayotokea nchini kila mmoja ni shahidi .
Wanasiasa wa upinzani wanaogopwa na ccm kuliko hata umasikini , njaa na maradhi .
Itoshe tu kusema kwenye jukwaa la siasa la Tanzania , BILA POLISI CCM NI WEPESI KULIKO PAMBA .
KWA SASA POLISI NDIO MWAMVULI WAO WA KUJISITIRI NA MAFURIKO YA WAPINZANI .
Nachukua nafasi hii kuwashukuru viongozi wa wakati ule kwa kuruhusu mfumo huu wa kisasa wa kuendesha nchi .
Kwenye kila jambo zuri kuna upande wa ubaya wake , kitendo cha viongozi kuruhusu mfumo huu wa kisasa ikageuka kuwa NDIO KABURI LA CCM nchini , wananchi wakafundishwa jinsi ccm ilivyoleta dhiki na mkusanyiko wa shida zote katika nchi hii , na kwa kauli moja wakakubaliana kuiondoa ccm madarakani , yaliyotokea ni historia .
Baada ya kitendo hicho ccm imestuka na kutambua kwamba HAINA TENA UWEZO WA KUSIMAMA JUKWAANI NA KUWAAMINISHA WANANCHI KATIKA JAMBO LOLOTE , hivyo ikaamua kutumia JESHI LA POLISI KUUA DEMOKRASIA NCHINI KWA GHARAMA KUBWA SANA YA JASHO NA DAMU ZA WAPINZANI .
Yanayotokea nchini kila mmoja ni shahidi .
Wanasiasa wa upinzani wanaogopwa na ccm kuliko hata umasikini , njaa na maradhi .
Itoshe tu kusema kwenye jukwaa la siasa la Tanzania , BILA POLISI CCM NI WEPESI KULIKO PAMBA .
KWA SASA POLISI NDIO MWAMVULI WAO WA KUJISITIRI NA MAFURIKO YA WAPINZANI .