KERO Ni aibu kituo cha gas ya magari TPDC kuwanyima wateja Kutumia choo

KERO Ni aibu kituo cha gas ya magari TPDC kuwanyima wateja Kutumia choo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2015
Posts
3,809
Reaction score
8,970
Yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! Kweli jaman ndio tumefkia huku!?

Unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

Hivi Serikali huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? Au ni maelekezo ya Rais basi tuseme
 
yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi! anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! kweli jaman ndio tumefkia huku!?
unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

hivi SERIKALI huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? au ni maelekezo ya RAIS basi tuseme
Ungejisaidia hapohapo kwenye filling station akili iwakae sawa..
 
yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi! anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! kweli jaman ndio tumefkia huku!?
unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

hivi SERIKALI huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? au ni maelekezo ya RAIS basi tuseme
Na wewe ungewaonesha kuwa u zaidi ya jeshi, ungejinyea tu.
 
yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi! anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! kweli jaman ndio tumefkia huku!?
unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

hivi SERIKALI huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? au ni maelekezo ya RAIS basi tuseme
Vituo vya Town ni WAJINGA sana ,sisi tunaosafiri sana ,ukifika vituo vya Mikoani chochote unapaki gari unaingia Toilet unajiHELP.
 
Pole.

Mhudumu wa Puma ya Mlimani City/Survey Road, aliniuliza 'huko chooni ume-flash'??

Nilimwangalia usoni kwa mshangao kidogo; nikamjibu ndiyo.

Akauliza "niende kukagua" nikamjibu ndiyo.
 
yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi! anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! kweli jaman ndio tumefkia huku!?
unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

hivi SERIKALI huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? au ni maelekezo ya RAIS basi tuseme
Tumerogwa sio Bure!!!,pole mkuu! Sasa ungejiharishia ingekuaje hapo!!!!
 
Hizo dharau mafuta yao uyachukue na mavi yako uwaachie
 
Yaani sijawahi ona hii tabia mbaya kabisa! mtu anafka kituoni kujaza gesi anabanwa na haja anakwenda kuomba msaada wa kujisaidia wanamwambia choo hakuna! Kweli jaman ndio tumefkia huku!?

Unamnyima mtu kwenda haja! je nyie TPDC mnajisaidia pori la Chuo?

Hivi Serikali huwa mnaajiri watu wenye uelewa wa aina hii mnafikiria nin! choo kweli unamnyima mtu! mbona vituo vingine vya CNG vyooote wana vyoo iweje nyie chenu mfunge kisitumike? Au ni maelekezo ya Rais basi tuseme

Ni kwamba tu hushirikishi kichwa kufikiri, kwa Hali hii ya usalama na Vijana unaruhusiwa vipi maeneo Yale ya hatari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom