Shida ya Simba inasajiri wachezaji magalasa halafu inawapa sifa nyingi ili waonekane Bora. Ahoua wanamwita MVP ila kiuhalisia Ahoua hata hawezi kisajiliwa na Kengold. Ni mchezaji wa hovyo. Siku Simba tukiwa serious kwenye usajili na kuacha utapeli tutafika mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.