george greyson
Member
- Jan 17, 2014
- 9
- 1
Kuna anaefaham kama nhif wameita watu kwenye interview?tafadhal anaefaham ningependa anifahamishe
Haa waheshimiwa bado mna matumaini... watu wameshachomolewa 50000 ili kuitwa kwenye interview.. vip wewe mkuu "mkono mtupu haulambwi"
Kuna anaefaham kama nhif wameita watu kwenye interview?tafadhal anaefaham ningependa anifahamishe
kaka. kazi yako ku apply na kazi yao ni kuita. fanya yako mengine siku wakitaka wataita,labda kama una uhakika wa kupata
Kamaliza kazi yake ya kuomba na siyo vibaya akifahamishwa mambo yanavyoenda huko jikoni.
Haa waheshimiwa bado mna matumaini... watu wameshachomolewa 50000 ili kuitwa kwenye interview.. vip wewe mkuu "mkono mtupu haulambwi"