NHIF call for Interview

Jamani hilo tangazo tunalionaje tofauti na gazetini! Nishaperuz mpaka simu inanishtukia!!! Msaada tafadhali wakuu!!!
 
kama wakienda watu wengi tofauti na matarajio yao na wakasema tunataka watu idadi fulani tu, wengine muondoke, je bado utasema wako fair?

we punjabu kama uliapply changamkia fursa acha kulalama mswaili wewe..malalamiko hayasaidii, everythng hapen 4 a reason
 
Tatizo ni pale wanaposema interview siku siku moja kwa wote yaani kila post inasiku yake so ndio nikataka kujua post na tarehe zake tusije changanya mambo!!
 


huko sahihi mkuu, je ukifika umesafiri kutoka may b kagera mpaka dar unaambiwa barua yako haionekani hapo inakuwaje sasa? na kwa nn waweke deadline ile ya tarehe 27/12/ 2013? kulikuwa na maana gani ya kuwepo?
 
huko sahihi mkuu, je ukifika umesafiri kutoka may b kagera mpaka dar unaambiwa barua yako haionekani hapo inakuwaje sasa? na kwa nn waweke deadline ile ya tarehe 27/12/ 2013? kulikuwa na maana gani ya kuwepo?

Yaani mimi nashindwa hata kushangaa coz, huu ni unyanyasaji mkubwa sana kwa job seekers..kama kuna watu wao wameshawaandaa basi wasiwape watu usumbufu kama huu heri wangechukua tu sample kidogo na wale watakao kosa wangewapa angalau usumbufu allowance...pia kama walipanga kufanya open recruitment wasingetusumbua sisi kuingia gharama zote hizo tulizoingia wangetangaza tu hata kama uwanja wa taifa watu wangeenda!! Angalizo.. mimi kwa upande wangu nashindwa kuelewa kabisa majukumu ya human resource department coz uzembe kama huu inaonesha jinsi gani wasivyowajibika ipasavyo,na nahisi job description zao zitakuwa na sehemu za kusoma magazeti,kupiga stori,kuangalia tamthilia,kuchat facebook na kuongea na simu all the time nkt..
 
Jamani membership officer wanafanya lini usaili? Mtujuze sidetusiokuwa na access ya magazeti
 
Hawa jamaa hawako serious ina maana mda wote huo walikuwa wapi? Au ndo walikuwa wanawapanga watu wao then wameita now ili kuzuga?.Igeni mfano wa TBS wako makini sana katika suara la kuajiri I.e interview.
 
General knowledge tu na masuala ya bima ya afya na health financing in general.
 
Hata sikumbuki niliomba nafasi gani
Remind me please ni nafasi gani walitangaza kweli!!
Na usaili unafanyikia wapi?
Tarehe ngapi?? Na mahali pia

asiye na maana haambiwi maana. wewe huku apply au unataka tukuambie una elimu gani
 
asiye na maana haambiwi maana. wewe huku apply au unataka tukuambie una elimu gani

Mkuu sina tabia ya kubishana na watu wasio kua na faida kwangu
Nimeshaomba maombi ya kazi zaidi ya Mia!!
Kuna wakati nasahau hata niliomba wapi na sehemu na nafasi gan
Nashukuru wenye upeo washani Pm hakuna haja ya kubishana kama huwezi nisaidia kaa kimya
 
Pamoja sana ! Mi ntatokea kwan application nlpeleka kwa mkono nanlpofka 2lkuwa wengi 2kambiwa zitoeni kwene bahasha nakusanya pale. Ko mie ntatokea nliomba post ass. Account.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…