Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Nimechukuwa muda huu kupenda kujua vyema kuhusu NHC Shirika la nyumba Taifa pale lilipo tangaza kuwa lina uza nyumba zake katika mikoa ya Arusha na Dar -Es-Salaam.
Kweli katika tangazo lao la wananchi kuandika barua ili kuomba kununua nyumba hapo sawa ila wao NHC hawajatuambia nyumba hizo zinazo uzwa Dar ziko eneo gani au huko Arusha hizo nyumba ziko eneo lipi ni mpya au za zamani?.
Mashaka yangu makubwa ni kuwa tangazo hilo limetangazwa ni kukidhi majukumu ya kazi kuwa walitangaza nyuma zinauzwa au?
Tetesi zimeanza kutokeza kuwa nyumba husika zinazo tangazwa kuuzwa tayari kuna vigogo walisha jinyakulia nyumba ili wao waje kuzipangisha kwa raia wengine
Ni mashaka yangu makubwa kuwa NHC watakuwa hawajatenda haki kwa raia (wakazi wa maeneo husika esp wa kipato cha chini kabisa) kwani siku zote mashirika yetu ya umma yauzapo vitu huwapa vigogo issue then utasikia wametangaza ukifuatiria its toooo late kumbe walisha gawana zamani huko.
Karibuni kwenye Hoja tujadili
Nimechukuwa muda huu kupenda kujua vyema kuhusu NHC Shirika la nyumba Taifa pale lilipo tangaza kuwa lina uza nyumba zake katika mikoa ya Arusha na Dar -Es-Salaam.
Kweli katika tangazo lao la wananchi kuandika barua ili kuomba kununua nyumba hapo sawa ila wao NHC hawajatuambia nyumba hizo zinazo uzwa Dar ziko eneo gani au huko Arusha hizo nyumba ziko eneo lipi ni mpya au za zamani?.
Mashaka yangu makubwa ni kuwa tangazo hilo limetangazwa ni kukidhi majukumu ya kazi kuwa walitangaza nyuma zinauzwa au?
Tetesi zimeanza kutokeza kuwa nyumba husika zinazo tangazwa kuuzwa tayari kuna vigogo walisha jinyakulia nyumba ili wao waje kuzipangisha kwa raia wengine
Ni mashaka yangu makubwa kuwa NHC watakuwa hawajatenda haki kwa raia (wakazi wa maeneo husika esp wa kipato cha chini kabisa) kwani siku zote mashirika yetu ya umma yauzapo vitu huwapa vigogo issue then utasikia wametangaza ukifuatiria its toooo late kumbe walisha gawana zamani huko.
Karibuni kwenye Hoja tujadili