Nguvu za kiume

Nguvu za kiume

Heee wanachakachua nguvu za kiume? hebu fafanua


Sijakusoma binti mzuri
Tutasema nguvu iwapo Sina virutubisho na cell zake...siku hizi janga la taifa punyeto, novida na kitu chipsi yai unategemea kuna virutubisho hapo.??? Michepuko kama foleni ya chalinze to dar
Vyakula vya nguvu nyie mwasema weka mbali na watoto vibao vya waganga vimeshamir Wanaongeza nguvu za kiume....
Kula misosi ya nguvu na mazoezi malalamiko yapungue
 
Oooh, sio wote wanasababishwa na vyakula. Wengine wamezaliwa ivo. Hormones chache. Stress pia ni janga jingine. Nawaza kudrive na kuoa soon after graduation. Mambo yakichenji kdg ni htr tupu.
 
Ila kwa wengi, vyakula ni shida. Punyeto zisizo fuata masharti ya afya ni htr sanaaa
 
Ila kwa wengi, vyakula ni shida. Punyeto zisizo fuata masharti ya afya ni htr sanaaa

Kikubwa wanaume kinachowaliza ni stress, punyeto, msosi, hakuna mazoezi ya pumzi na misuli+ vyakula.
Ni aibu na fedheha mwanaume kushindwa kumfikisha na kumkuna mwanamke pale anapopataka
Hat umpe pesa kiasi gani na upendo bila ile utakupenda kiunafiki tu.
 
Kikubwa wanaume kinachowaliza ni stress, punyeto, msosi, hakuna mazoezi ya pumzi na misuli+ vyakula.
Ni aibu na fedheha mwanaume kushindwa kumfikisha na kumkuna mwanamke pale anapopataka
Hat umpe pesa kiasi gani na upendo bila ile utakupenda kiunafiki tu.
Mmmh, hapo kwenye stress sidhani, mi nikiwa na stress ndio namimina ile mbaya.
 
Tutasema nguvu iwapo Sina virutubisho na cell zake...siku hizi janga la taifa punyeto, novida na kitu chipsi yai unategemea kuna virutubisho hapo.??? Michepuko kama foleni ya chalinze to dar
Vyakula vya nguvu nyie mwasema weka mbali na watoto vibao vya waganga vimeshamir Wanaongeza nguvu za kiume....
Kula misosi ya nguvu na mazoezi malalamiko yapungue
Hivi unajua sio vyakula pekee vinasababisha? sababu ziko chungu nzima naona mmebase kwenye vyakula kwahiyo mnataka hivyo vyakula mle peke yenu? mbali na vyakula kuna stress za maisha zinaleta msongo wa mawazo na kupunguza uwezo wa mwanaume,kufanya kazi muda mrefu bila kupata muda kupumzika nayo ni sababu pia,kuangalia picha za uchi hizo zote zinapelekea kupungua kwa nguvu za kiume
 
Kikubwa wanaume kinachowaliza ni stress, punyeto, msosi, hakuna mazoezi ya pumzi na misuli+ vyakula.
Ni aibu na fedheha mwanaume kushindwa kumfikisha na kumkuna mwanamke pale anapopataka
Hat umpe pesa kiasi gani na upendo bila ile utakupenda kiunafiki tu.
Suala la kumridhisha mwanamke linategemeana na yeye mwenyewe siyo mwanaume peke yake mwanaume anaweza kujitahidi lakini kumbe mwanamke hisia zake haziko hapo,au naye amezoea punyeto hivyo hahisi chochote hapo utasema ni tatizo la mwanaume? na mwanamke anaweza kuridhika hata kwa bao moja la dk 10 kama umemfanyia maandalizi ya kutosha
 
Suala la kumridhisha mwanamke linategemeana na yeye mwenyewe siyo mwanaume peke yake mwanaume anaweza kujitahidi lakini kumbe mwanamke hisia zake haziko hapo,au naye amezoea punyeto hivyo hahisi chochote hapo utasema ni tatizo la mwanaume? na mwanamke anaweza kuridhika hata kwa bao moja la dk 10 kama umemfanyia maandalizi ya kutosha

Ndioooo, mind set muhimu sana kwa jambo hilo. Mko mbezi mtu anawaza mkuranga!!! Lini atafurahi.
 
Hivi unajua sio vyakula pekee vinasababisha? sababu ziko chungu nzima naona mmebase kwenye vyakula kwahiyo mnataka hivyo vyakula mle peke yenu? mbali na vyakula kuna stress za maisha zinaleta msongo wa mawazo na kupunguza uwezo wa mwanaume,kufanya kazi muda mrefu bila kupata muda kupumzika nayo ni sababu pia,kuangalia picha za uchi hizo zote zinapelekea kupungua kwa nguvu za kiume

Ni kweli zipo sababu nyingi kama ulivyosema na nilizotaja mm kweli mwanamke aweza ridhika kwa bao moja ila wachache ndo waweza kwenda masafa ya muda mrefu pumzi hakuna.
Mapenzi ni wote kujituma kwenye nafasi zetu...
 
Ni kweli zipo sababu nyingi kama ulivyosema na nilizotaja mm kweli mwanamke aweza ridhika kwa bao moja ila wachache ndo waweza kwenda masafa ya muda mrefu pumzi hakuna.
Mapenzi ni wote kujituma kwenye nafasi zetu...

Sample space yako please kwa kuhakiki masafa mafupi ya wadau wengi..... kwi kwi kwiiii
 
Bao 3? Zote hizo za nini? Unashindana na k? Itakutoa knock out! Piga moja ndefu yenye akili hata timu pinzani itakuwa hoi na majibu hakuna!

Khaaa wewe kijana!! Wengine wanapiga hata 5 za uhakika halafu wewe unasema moja!!! Acha uvivu. Sasa wewe gusagusa halafu akikutana na Zogwale kama utampata tena!!!
 
Bao moja tuu dakika 45 nikipiga la pili one hr nyakati nyingine nikivaa condom duuu hadi natamani nivue


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom