nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Habari ya mchana kutwa wana MMU...
Kumekuwa na habari nyingi zisizo za kitaalamu kuhusu nguvu za kiume.
Wengi hawajui tukisema nguvu za kiume tuna maanisha nini hasa.
Hii imewafanya wanaume wengi kushindwa kujiamini na kubaki wakitangatanga bila msaada.
Mtu akisikia pweza yupo, karanga mbichi yupo, kahawa yupo, asali ya nyuki wadogo + mdalasini utamkuta n.k mpaka unamuonea huruma uyo muhusika.
OK, sio inshu saaana, wataalamu wa afya wanasema kuwa mwanaume mwenye uwezo wa kuingilana kimwili na mwanamke na akapizi kuanzia mara 3 basi hakuna shaka kuwa na nguvu za kiume za kutosha.
Acheni kuibiwa pesa na waganga wa jadi na kutanga tanga ovyo.
Hope mmenielewa vyema.
Kumekuwa na habari nyingi zisizo za kitaalamu kuhusu nguvu za kiume.
Wengi hawajui tukisema nguvu za kiume tuna maanisha nini hasa.
Hii imewafanya wanaume wengi kushindwa kujiamini na kubaki wakitangatanga bila msaada.
Mtu akisikia pweza yupo, karanga mbichi yupo, kahawa yupo, asali ya nyuki wadogo + mdalasini utamkuta n.k mpaka unamuonea huruma uyo muhusika.
OK, sio inshu saaana, wataalamu wa afya wanasema kuwa mwanaume mwenye uwezo wa kuingilana kimwili na mwanamke na akapizi kuanzia mara 3 basi hakuna shaka kuwa na nguvu za kiume za kutosha.
Acheni kuibiwa pesa na waganga wa jadi na kutanga tanga ovyo.
Hope mmenielewa vyema.