Ustaarabu hauna gharama ndugu. Kama ulikuwa huna ushauri kwa kutoa si ungesoma tu upite? Unamtukana aliyeweka tatizo lake kwa kumuita gay kwa kosa gani hasa alilokufanyia? kama una dalili za ustaarabu utauchukua ushauri huu positively lakini kama hata hizo dalili huna, utatukana huu ushauri wangu. Ngoja nionelitle john, u b serious, im i a doctor! af u never knw may be is a gay ila hajijui. let hm learn frm hm self. get me?
Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
Kuna watu wengine humu ni wapuuzi sana! Mtu anasema nguvu zake za kiume zimepungua unasema labda ni shoga! Ulisoma wapi kwamba mashoga hawadindi? Labda ungesema -------, ndugu yangu mwenye Hilo tatizo nenda kaonane na endocrinologist inawezekana una upungufu wa testosterone homoni, Kama huna msongo wa mawazo, kisukari, high cholesterol au high blood pressure, achana na wajinga jinga wengine hapa jf, hawajielewi wapo hapa kwa sababu gani.
Duh 🙄 wewe sio mwanaume kabisaHabarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11