nguvu za kiume

Anza kufanya mazoezi yooote...tofauti na kuinua chuma

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
litle john, u b serious, im i a doctor! af u never knw may be is a gay ila hajijui. let hm learn frm hm self. get me?
Ustaarabu hauna gharama ndugu. Kama ulikuwa huna ushauri kwa kutoa si ungesoma tu upite? Unamtukana aliyeweka tatizo lake kwa kumuita gay kwa kosa gani hasa alilokufanyia? kama una dalili za ustaarabu utauchukua ushauri huu positively lakini kama hata hizo dalili huna, utatukana huu ushauri wangu. Ngoja nione
 
Kuna watu wengine humu ni wapuuzi sana! Mtu anasema nguvu zake za kiume zimepungua unasema labda ni shoga! Ulisoma wapi kwamba mashoga hawadindi? Labda ungesema -------, ndugu yangu mwenye Hilo tatizo nenda kaonane na endocrinologist inawezekana una upungufu wa testosterone homoni, Kama huna msongo wa mawazo, kisukari, high cholesterol au high blood pressure, achana na wajinga jinga wengine hapa jf, hawajielewi wapo hapa kwa sababu gani.
 
Pole sana omereyo. Usiwe na shaka wewe upo sawa kabisa wala hujalogwa. Cha kuzingatia ni kuachana na mambo mambo yanayochangia kupungua kwa nguvu kama unayo, pia kuzingatia kula chakula bora na kuzingatia zaidi vyakula vya nafaka kuliko vyakula vilivyokobolewa. Mambo ambayo yanachangia kupungua nguvu ni kama yalivyoelezewa na mchangiaji mmoja hapo juu. Pia unaweza kutumia lishe maalumu iliyoandaliwa kiasilia na isiyokuwa na madhara yoyote mwilini na pia imethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania. Maelezo ya lishe husika yapo hapo chini unaweza kufuatilia kwa faida yako na kwa mwingine pia.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM


  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

REVIVE


Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.

KAZI YA REVIVE


  • Kuongeza libido(ashiki au nyege)
  • Kutibu impotence(mahanisi)
  • Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37’’C.
  • Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
  • Kutibu maumivu ya kiuno
  • Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
  • Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
  • Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa


CA + FE + ZI PLUS


  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA


  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA


  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI


  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.


Kwa swali lolote au ushauri waweza kuuliza kwa kunipigia 0776491294/0713889162 au kuniandikia kupitia email ishealthy@hotmail.com

MAGILIM ni 62500/-, REVIVE ni 60500/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-
 

Attachments

  • MAGILIM.jpg
    MAGILIM.jpg
    15.2 KB · Views: 162
  • REVIVE.jpg
    REVIVE.jpg
    13.9 KB · Views: 166
  • CA+FE+ZI Plus.jpg
    CA+FE+ZI Plus.jpg
    16.2 KB · Views: 153
omereyo,

Nenda hospitali, mwone daktari atakueleza cha kufanya. Kama unaona ugumu niPM nikueleze uende wapi na cha kufanya.

mudushi

Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
 
Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?


Sidhani kama una tatilo la kutafuta dawa. nenda kwa dr.
Achana na madawa, hayatakusaidia.
utapoteza peza zako bure
 
Kuna watu wengine humu ni wapuuzi sana! Mtu anasema nguvu zake za kiume zimepungua unasema labda ni shoga! Ulisoma wapi kwamba mashoga hawadindi? Labda ungesema -------, ndugu yangu mwenye Hilo tatizo nenda kaonane na endocrinologist inawezekana una upungufu wa testosterone homoni, Kama huna msongo wa mawazo, kisukari, high cholesterol au high blood pressure, achana na wajinga jinga wengine hapa jf, hawajielewi wapo hapa kwa sababu gani.

Kaka una hasira sana. wamekuingiza mjini nini?
 
jipatie aloe gelly iliyochanganywa kwa virutubisho 200 Kwa matumizi yafuatayo
kusafisha mfumo Wa damu
kusafisha mfumo usagaji chakula
asthma
kisukari
presha
maumivu ya tumbo
maumivu ya moyo
kupunguza uzito
kukosa hamu ya Kula na tendo la ndoa
kungaarisha ngozi
uchovu wa mwili na maumivu
maumivu ya koo
kusafisha kibofu
kansa ya damu
nguvu ya tendo la ndoa
ugumba
gonjwa la zinaa
malaria.
0713507487
0767507487
0782898210

price 43000
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
 
Habarini mi nashida ya tatizo la nguvu za kiume na uume wangu mdogo sana kama wa mtoto nahitaji tiba nmeangaika sana nmekata tamaa ni muanga wa punyeto na xxx mwaka wa kumi huu unae da wa 11
Duh 🙄 wewe sio mwanaume kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom