Mkuu omereyo hujatueleza kuwaMwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
wataalamu wa mambo hayo wanajitangaza sana kwenye magazeti ya udaku. We fatilia uko
Pole sana jaribu dawa hii.Mwenzenu mie nina tafuta tiba ya upungufu wa nguvu za kiume.napenda sana niwe mume kamili ila nguvu zimenipungua nikitaka kuingiza tu inanywea.sijui nimelogwa?
Kweli hivi n kwanini magazetinya udaku tu
Binti huishiwi misamiati?Umeoa? Labda ukioa itakubali, inawezakuwa inaogopa ngwengwe
Good umri bado unadai kabisa, sasa hakikisha unapata asali ya ukweli(halisi) haswa ya nyuki wadogo (unaweza kuipata pale ofisi za maliasili idara ya misitu) ponda vitunguu swaumu tembe nne na mdalasini wa unga kiasi kidogo changanya na vijiko viwili vikubwa vya asali asubuhi na jioni kwa wiki mbili. Pia ondoa hofu kabisa ya hilo jambo linakwisha kabisa. Pole ndugu yangu.Nina miaka 29,sina magonjwa hayo ila nimeshawahi kuwa na depression.
ukitaka kupona kwanza hama ccm, na pia chukia ufisadi na madhambi y akina mwigulu then utapona dakika hiyohiyoa. ameen!
Mkuu Nyanidume Dollar 300 sawasawa na TZ Shillingi 480.000 Dawa yenyewe haipatikani nchini Tanzania inapatikana nje ya Tanzania ukihitaji nitumie Barua ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.comMziziMkavu, hiyo dawa unauza dola 300, ni sawa na tsh ngapi?
Mkuu omereyo Ulipata hiyo depression kwa sababu zipi? na je imeshaondoka hiyo depression? Ulishawahi kwenda kumuona Daktari kuhus hiyo depression? na alikwambia au alikupa dawa gani?Nina miaka 29,sina magonjwa hayo ila nimeshawahi kuwa na depression.