Nguvu za kiume zipo kwenye ku control ubongo zaidi

Nguvu za kiume zipo kwenye ku control ubongo zaidi

Chief Ortambo Ikumenye

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
255
Reaction score
529
True story

Unaweza kudhani maumbile makubwa kwa mwanaume yanaweza kukusaidia, ama sijui kula mikaranga na mi pweza ila nimeamini, nguvu ya kiume ya kweli inatokana na ku control ubongo wako zaidi.

Miezi kama sita iliyopita nilipompata huyu mpenzi wangu wa kwanza ambaye ndo nipo naye kwa sasa, nilikuwa katika nafasi ya kujihisi kama labda nna upungufu wa nguvu za kiume. Maana nilikuwa na tabia ya kukojoa bao la kwanza ndani na chini ya dakika tatu.

Hakuna kitu klikuwa kinanikera kama hiki kuona wewe umeshakojoa halafu mpenzi wako ndo moto umempanda anadai umt*mbe, nikawa najifikiria hapa ndo mwanzo na sababu ya ama kugongewa ama kuachwa kabisa.

Niliadhimia kutatua hili tatizo nikaanza kula makaranga lakini wapi, ma pweza lakini wapi, mazoezi lakini wapi...

Siku moja wala sio siku nyingi sana, mchumba wangu akaniambia inabidi ujicontrol. So nakumbuka next day nikajisemea na mimi itabidi nijicontrol ila sikujua itakuwaje. So ikafika siku ya game, kama kawaida ila leo nikajisemea siwez kukojoa mapema.

So nilijitahidi ku relax ubongo na moyo.. nikawa wakati naanza naenda taratibu.. ila mda ukazidi kwenda nikiwa sasa naenda speed ya kawaida na nikawa nahisi udhabiti. Niseme tu ukweli kwa mara ya kwanza nilienda bao la kwanza kwa kati ya dakika 25-35 sikuhesabu vizur ila ni zaidi ya 25. Kiasi mpaka jasho mwili mzima lilikuwa linanitiririka na bado nilikuwa stable mpaka nilipoamua mwenyewe kukojoa.

Kwangu lilikuwa ni badiliko kubwa mno maana siku mbili kabla nilikojoa kwa chini ya dakika 3. Lakini leo nimeweza kuhimili dakika hizo zote.

So ushauri wangu kwa wanaume wenzangu wanaohisi sijui wana matatizo ya nguvu za kiume, mnatakiwa kujenga hali ya kucontrol ubongo zaidi kuliko vitu vingine. Sio mikaranga, mi pweza, sijui mi dawa gani asilimia karibu 70% ya nguvu zako za kiume ni namna gani unaweza ku control ubongo wako.

Disclaimer: sio tangazo (nna mpenzi mmoja na wa pekee na furaha yake ya majamboz ndo imenifanya nilete huu uzi leo japo sijazoea kuandika humu)
 
Unaji controll vp ubongo wako?
Hapa ndo ntashindwa kukueleza unaweza vipi.. ila ni hali fulani hivi ukiweza mara moja ndo umeweza mazima.. nashindwa kuielezea maana jinsi nnavoweza mimi kuna hali fulani mwili wangu nakuwa nauweka..
 
Kutoka chini ya dakika 3 mpaka zaidi ya dakika 25!!
Sababu ni kucontrol ubongo!
Mkuu embu fafanua kidogo kwenye kucontrol vzr wenda ukawa una kitu kikasaidia wengine.
 
Mapenzi ni ufundi.... Hawa kukosea, tuliza akili, usi kamie... Piga mzigo slow but sure, pause kidogo kama 1 minute, ongea na mwenzako.. iki bidi weka ka kichekesho mcheke wote wakati huo una vuta nguvu na mzigo ukiwa ume utuliza either ndani au ume utoa nje... Baada ya endelea tena... Akili ikiwa ime relax pasipo kuwaza wazungu wana toka SAA ngapi.... Always waza mwanamke wako a fike kwanza then wewe ufate.... Obviously uta enda more than 30 minutes.
 
Ulichosema mleta mada ni kweli!! kwa lugha rahisi jitahidi kuwaza sana tukio!!

Kwa kifupi jitahidi kuhamisha mawazo yako kwenda sehem nyingine....

Kwa kuongezea tu usichukilie ni kitu serios, take it ease!!
 
Kutoka chini ya dakika 3 mpaka zaidi ya dakika 25!!
Sababu ni kucontrol ubongo!
Mkuu embu fafanua kidogo kwenye kucontrol vzr wenda ukawa una kitu kikasaidia wengine.
Sio ubongo pekee ni pamoja na ku relax mwili wako, pumua kawaida, na ukiona kama unataka kupiz unapunguza kasi kidogo.. nahisi ntaweza kuwa kwenye position ya kuelezea vizur kabisa nikisha zoea kabisa .. but ukiweza mara ya kwanza ndo umeweza mazima.. hata ukutane na mwanamke wa aina gani huwez mwaga mapema.. minimum yako inaweza kuwa dakika 20.. na hapo labda umeamua.. mkuu bbwaoy amefafanua vizur sana pia hapo juu
 
Ulichosema mleta mada ni kweli!! kwa lugha rahisi jitahidi kuwaza sana tukio!!

Mfano mnapoanza WEWE ANZA KUWAZA WADENI WAKO, MAMA MWENYE NYUMBA KAMA ANAKUDAI ANZA KUWAZA DENI LAKE!!

Kama benk mkopo umepitisha anza kuwaza marejesho....hii ni mifano tu...

Kwa kifupi jitahidi kuhamisha mawazo yako kwenda sehem nyingine....
Yap nadhani hii ndo maana pia ya kujicontrol.. ukisha manage kuanza vizur ndani ya dakika kumi za mwanzo then una incorporate hichi unachosema hapo lazima kuna kwenda mda mrefu sana.. uko sawa
 
Kijana unazijua dk 25???..heb tafadhal next time chkua sim halaf chunguza muda unapoanza had kumaliza,..

Am sure kama ungeangalia muda lazma ulitumia dk13 or 15,ila sio 25 mkuu,trust me,..
 
Swala la kufika kilele mapema na nguvu za kiume sivitu viwili tofauti mjenzi wetu wa hoja au ?
 
Kijana unazijua dk 25???..heb tafadhal next time chkua sim halaf chunguza muda unapoanza had kumaliza,..

Am sure kama ungeangalia muda lazma ulitumia dk13 or 15,ila sio 25 mkuu,trust me,..
Nna uhakika na nlichoandika, niliplay music ndo nikaanza by the time namaliza music ilikuwa kweny 45 minutes so hizo 20 minutes ni kama error but nilienda zaidi ya hata hizo 25.. By the way, sina nia kujipa sifa yoyote ila nilitaka ku share awareness tu kwa wenzangu ambao walikuwa na tatizo kama hilo
 
True story

Unaweza kudhani maumbile makubwa kwa mwanaume yanaweza kukusaidia, ama sijui kula mikaranga na mi pweza ila nimeamini, nguvu ya kiume ya kweli inatokana na ku control ubongo wako zaidi.

Miezi kama sita iliyopita nilipompata huyu mpenzi wangu wa kwanza ambaye ndo nipo naye kwa sasa, nilikuwa katika nafasi ya kujihisi kama labda nna upungufu wa nguvu za kiume. Maana nilikuwa na tabia ya kukojoa bao la kwanza ndani na chini ya dakika tatu.

Hakuna kitu klikuwa kinanikera kama hiki kuona wewe umeshakojoa halafu mpenzi wako ndo moto umempanda anadai umt*mbe, nikawa najifikiria hapa ndo mwanzo na sababu ya ama kugongewa ama kuachwa kabisa.

Niliadhimia kutatua hili tatizo nikaanza kula makaranga lakini wapi, ma pweza lakini wapi, mazoezi lakini wapi...

Siku moja wala sio siku nyingi sana, mchumba wangu akaniambia inabidi ujicontrol. So nakumbuka next day nikajisemea na mimi itabidi nijicontrol ila sikujua itakuwaje. So ikafika siku ya game, kama kawaida ila leo nikajisemea siwez kukojoa mapema.

So nilijitahidi ku relax ubongo na moyo.. nikawa wakati naanza naenda taratibu.. ila mda ukazidi kwenda nikiwa sasa naenda speed ya kawaida na nikawa nahisi udhabiti. Niseme tu ukweli kwa mara ya kwanza nilienda bao la kwanza kwa kati ya dakika 25-35 sikuhesabu vizur ila ni zaidi ya 25. Kiasi mpaka jasho mwili mzima lilikuwa linanitiririka na bado nilikuwa stable mpaka nilipoamua mwenyewe kukojoa.

Kwangu lilikuwa ni badiliko kubwa mno maana siku mbili kabla nilikojoa kwa chini ya dakika 3. Lakini leo nimeweza kuhimili dakika hizo zote.

So ushauri wangu kwa wanaume wenzangu wanaohisi sijui wana matatizo ya nguvu za kiume, mnatakiwa kujenga hali ya kucontrol ubongo zaidi kuliko vitu vingine. Sio mikaranga, mi pweza, sijui mi dawa gani asilimia karibu 70% ya nguvu zako za kiume ni namna gani unaweza ku control ubongo wako.

Disclaimer: sio tangazo (nna mpenzi mmoja na wa pekee na furaha yake ya majamboz ndo imenifanya nilete huu uzi leo japo sijazoea kuandika humu)
Vzr ili tuamini mjirecord clip ya hizo dakika ili tuamini sawa
 
Mwenye upungufu wa nguvu za kiume anaweza kuotea game kwa muda huo ila akisha shusha oil kwisha ambalo ndio tatizo hasa hilo
Kama tafsiri yake ndo hivo nadhani hili litakuwa tatizo la watu walioenda umri labda wababa watu wazima ama labda mtu anayefanya sana punyeto. Ila kwa kijana mwenye afya ya kawaida tu huwez kusumbuliwa na hichi kitu maana damu inachemka. Unafika kileleni unakaa dakika chache tu unaweza kujipa hata gap ya hata 40 minutes ile uwe vizur sijui kwa wengine ipoje naongelea upande wangu...
 
Vzr ili tuamini mjirecord clip ya hizo dakika ili tuamini sawa
Sina nia hiyo lengo langu ni watu wapate hii content ya nilichoandika zaidi.. sioni best way ya kuleta proof hapa ila nilichoandika sio uwongo.. sina nia ya kudanganya maana hakuna maslahi yoyote nnayopata hapa nlivoandika hiv
 
Back
Top Bottom