Hivi kweli na viongozi wa ccm wanaziona hizi nyomi, wallah ccm inaelekea kufa na ndiyo maana kwa sasa ukiwa diwani au mbunge wa ccm fanya uzalendo na wapinge kwa nguvu na tetea wananchi kadri uwezavyo maana hawana ubavu wa kukufukuza uanachama ref madiwani wa bukoba. viva uongozi thabiti wa chadema. Naomba watu km akina nape,nchemba,lusinde,serukamba,kinana,mangula nk wajaribu kuhudhuria mikutano ya cdm wajionee jinsi chama kinavyokubalika.Pia wabunge wetu jiandaeni kwa manyanyaso hapo bungeni yanayofanywa na kiti cha spika maana bunge ni kesho kutwa, hata mkinyanyaswa kiasi gani sisi tuko upande wenu cha msingi msimamie hoja kwa maslahi ya taifa, naomba pia muwashawishi wabunge km filikunjombe, kangi lugora, mpina, esta bulaya, abdalah mtutura wasaidie kuisimamia serikali na si kuitetea. Ni mtazamo wangu tu.