Haya mambo ya mila nimeshayasikia sana, wengine wanapokiuka mila zao inafikia kupukutika, yaani vile vifo/misiba mfululizo, mpaka waende kwenye mizimu yao wakiomba msamaha ndio mambo yanatulia.
NB: Ni mambo ambayo nimeyasikia, nimehadithiwa, sikuwahi kuyashuhudia kwa macho yangu