Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Sep 21, 2014 #81 [I[/I] utafiti said: Hahaha bado hujamzoea tu? Click to expand... Siwezi kumzoea asilani
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Sep 21, 2014 Thread starter #82 Chocs said: [I[/I] Siwezi kumzoea asilani Click to expand... Embu angalia apo kama yupo kichwani....
kisungu JF-Expert Member Joined Feb 20, 2013 Posts 788 Reaction score 266 Sep 21, 2014 #83 Wanaogopa mende mdudu au style ya kutiana ya kifo cha mende
Chocs JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 8,437 Reaction score 4,828 Sep 21, 2014 #84 Weeeee... utafiti said: Embu angalia apo kama yupo kichwani.... Click to expand...
Miss Neddy JF-Expert Member Joined Nov 3, 2013 Posts 14,684 Reaction score 8,754 Sep 21, 2014 #85 wanasemaga mende ana uwezo wa kuangusha kabati lol
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Sep 21, 2014 Thread starter #86 miss neddy said: wanasemaga mende ana uwezo wa kuangusha kabati lol Click to expand... Natamani nimuulize huko juu kafikaje?
miss neddy said: wanasemaga mende ana uwezo wa kuangusha kabati lol Click to expand... Natamani nimuulize huko juu kafikaje?
Pancras Suday JF-Expert Member Joined Jun 24, 2011 Posts 8,143 Reaction score 3,848 Sep 21, 2014 #87 sumawe21 said: Wame plagiarize staili Yao mana ile staili ya kifo cha mende ni Yao! Sent from my iPhone using JamiiForums Click to expand... Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah
sumawe21 said: Wame plagiarize staili Yao mana ile staili ya kifo cha mende ni Yao! Sent from my iPhone using JamiiForums Click to expand... Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah
KAJICHO KIVULI JF-Expert Member Joined Jul 30, 2013 Posts 2,061 Reaction score 546 Sep 21, 2014 #88 Funnny day!!!!!!
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Sep 22, 2014 #89 mshana jr said: Hahahahaaaa Zamaulid una lako jambo si bure Click to expand... hapana boss!ni hali ya hewa tu...itapita!
mshana jr said: Hahahahaaaa Zamaulid una lako jambo si bure Click to expand... hapana boss!ni hali ya hewa tu...itapita!
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,421 Reaction score 829,776 Sep 22, 2014 #90 Hivi kwanini wale wanapenda kuruka ukuta wanaitwa mamende?
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Sep 22, 2014 #91 Watoto wa kike bana, sasa muda waliotumia hapo jikoni kama huyo mwingine kadandia si bora mmoja angeenda kuchukua dawa wapulizie, nina uhakika dawa wanayo humo humo kwao
Watoto wa kike bana, sasa muda waliotumia hapo jikoni kama huyo mwingine kadandia si bora mmoja angeenda kuchukua dawa wapulizie, nina uhakika dawa wanayo humo humo kwao
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,920 Sep 23, 2014 #92 Hahahaha juzi nlitumiwa video huko china mende wanafungwa tena wana market kweli alafu upishi wake wanakaangwa hahaha kama huna moyo mara watapika
Hahahaha juzi nlitumiwa video huko china mende wanafungwa tena wana market kweli alafu upishi wake wanakaangwa hahaha kama huna moyo mara watapika
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,421 Reaction score 829,776 Sep 23, 2014 #93 farkhina said: Hahahaha juzi nlitumiwa video huko china mende wanafungwa tena wana market kweli alafu upishi wake wanakaangwa hahaha kama huna moyo mara watapika Click to expand... Chakula ghali sana hicho farkhina kwa wavimba macho Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
farkhina said: Hahahaha juzi nlitumiwa video huko china mende wanafungwa tena wana market kweli alafu upishi wake wanakaangwa hahaha kama huna moyo mara watapika Click to expand... Chakula ghali sana hicho farkhina kwa wavimba macho
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,920 Sep 23, 2014 #94 mshana jr said: Chakula ghali sana hicho farkhina kwa wavimba macho Click to expand... Kabisaaa hebu nawe fuga ntakuletea wateja mie Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mshana jr said: Chakula ghali sana hicho farkhina kwa wavimba macho Click to expand... Kabisaaa hebu nawe fuga ntakuletea wateja mie
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,421 Reaction score 829,776 Sep 23, 2014 #95 farkhina said: Kabisaaa hebu nawe fuga ntakuletea wateja mie Click to expand... Hahahaaaa no no no farkhina nina allergy na hawa viumbe na wananijua vema Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
farkhina said: Kabisaaa hebu nawe fuga ntakuletea wateja mie Click to expand... Hahahaaaa no no no farkhina nina allergy na hawa viumbe na wananijua vema
F farkhina Platinum Member Joined Mar 14, 2012 Posts 14,568 Reaction score 16,920 Sep 23, 2014 #96 mshana jr said: Hahahaaaa no no no farkhina nina allergy na hawa viumbe na wananijua vema Click to expand... Unawaoga hahaha si useme tu wewe ukiwaona unafika kukimbia hadi juu ya dari Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mshana jr said: Hahahaaaa no no no farkhina nina allergy na hawa viumbe na wananijua vema Click to expand... Unawaoga hahaha si useme tu wewe ukiwaona unafika kukimbia hadi juu ya dari
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,421 Reaction score 829,776 Sep 23, 2014 #97 farkhina said: Unawaoga hahaha si useme tu wewe ukiwaona unafika kukimbia hadi juu ya dari Click to expand... Hahahaaaaa sipendagi ile miguu na antenna zao I feel like hrrrrr...!!!
farkhina said: Unawaoga hahaha si useme tu wewe ukiwaona unafika kukimbia hadi juu ya dari Click to expand... Hahahaaaaa sipendagi ile miguu na antenna zao I feel like hrrrrr...!!!