ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Najiuliza ili swali kwanini nchi kama Urusi, China, Uingereza, Germany, France na nchi nyingine nyingi tu ambazo ziko juu kiuchumi zenyewe hazina uwezo wa kuzifungia ama kuziwekea vikwazo nchi nyinginezo ambazo zinatofautiana nazo kimaslahi na vikwazo ivyo vikatekelezwa na dunia nzima kama afanyavyo Marekani
Namaanisha kwanini Marekani yeye anaamka tu asubuhi anasema Tanzania nimekufungia kununua ama kuuza hiki na kile duniani kote baada ya tamko ilo la Marekani nchi zote duniani zinafata ilo agizo na zinalitekeleza vyema sana bila ata kupepesa macho yaani nchi zote duniani zinafata kauli ya Marwkani na Tz akiamua kushusha bei ili auze kiurahis akuna nchi inayokubali kufanya naye biashara
Kwani Marekani yeye ana kitu gani cha ziada ama cha zaidi ya inchi nyingine zote duniani nataka kujua kitu gani ambacho exptional tofauti na nchi nyingine yoyote yeye anacho na sisi wengine ama nchi nyingine hatuna
Namaanisha kwanini Marekani yeye anaamka tu asubuhi anasema Tanzania nimekufungia kununua ama kuuza hiki na kile duniani kote baada ya tamko ilo la Marekani nchi zote duniani zinafata ilo agizo na zinalitekeleza vyema sana bila ata kupepesa macho yaani nchi zote duniani zinafata kauli ya Marwkani na Tz akiamua kushusha bei ili auze kiurahis akuna nchi inayokubali kufanya naye biashara
Kwani Marekani yeye ana kitu gani cha ziada ama cha zaidi ya inchi nyingine zote duniani nataka kujua kitu gani ambacho exptional tofauti na nchi nyingine yoyote yeye anacho na sisi wengine ama nchi nyingine hatuna