Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

Nguvu ya kuzungumza bila kukaa kimya

Addons

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2023
Posts
862
Reaction score
1,188
Nimegundua nguvu iliyopo kwenye kuzungumza na Kushindana kwa Maneno!!

Kwa muda mrefu ninekuwa nikiliwaza sana hili suala, Kwanini mtu huwezi kufanikiwa au kupata jambo fulan mpaka uwe mzungumzaji.

Ukiwa mkimya kuna possibility ya mtu kusahaulika lakini ukiwa unabwabwaja kila mtu atakuzingatia..

Kwasasa haki haiji kwakuwa una haki lakin kwakuwa unajua kuongea sana, unajua kujieleza!! Hata kama wew uko sahihi lakin huwez kujieleza ni ngum wew kufanikiwa.

Mim nimewahi kuexperience hili kwakuwa mi sio muongeaji, na huwa sipendi kuongea sana!! Napenda nijielezee tu mara moja lakn sio kurudia rudia. Matokeo yake unaweza jikuta jamii inakusahau kabisa kama upo.

Hii ipo kote, si Africa pekee lakin ni dunian kote.

Kwasasa paza sauti yako, zungumza watu wakusikie, usikubali kukaa kimya unapoona kuna kitu hakipo sahihi.

Tafadhali nakusihi usikae kimyaa, usikae kimyaa, ukitaka kuonekana, kusaidika, naomba usikae kimyaa, zungumza!!!!!!

Nguvu iliyopo kweny kuongea ongea ni kubwa kuliko tunavyoweza kuona.

Hio ndo mbnu inayotumika kweny siasa sana!! Watu wanaandaliwa mtandaoni kumchafua mtuu fulani, makusudi. Hio ndo silaha kwa watu wasiojali intellectual tena.

Naomba kuwasilisha
 
Unaweza kuongezea ni kwa namna gani nguvu ya maneno imekukosesha haki yako, au imekuchafulia image yako
 
Ukimya mda mwingine ni kiashiria cha hekima, tafakuri na maarifa !!!!
Mtu mwenye hekima na maarifa huwa anaongea machache ya busara, kuliko ropo ropo yeye anaongea tu ilimradi asikike

Kuongea ongeo ovyo ni ujuha, upumbavu, umbea na ukosefu wa maarifa !
 
Kwenye ofisi za umma au mtaani Uswahili, mtu anayeongea sana ndiye anayezingatiwa na sijui kwa nini anaogopwa. Yule mpole anasahaulika hata fursa anaweza asiwe anapewa.
 
Kwenye ofisi za umma au mtaani Uswahili, mtu anayeongea sana ndiye anayezingatiwa na sijui kwa nini anaogopwa. Yule mpole anasahaulika hata fursa anaweza asiwe anapewa.
Yes!! Tena ukipata bahati kama, kuna mtu kakuonea huruma ndo atasema!!
"Jaman kuna mtu mnamsahau uku
 
Ukimya mda mwingine ni kiashiria cha hekima, tafakuri na maarifa !!!!
Mtu mwenye hekima na maarifa huwa anaongea machache ya busara, kuliko ropo ropo yeye anaongea tu ilimradi asikike

Kuongea ongeo ovyo ni ujuha, upumbavu, umbea na ukosefu wa maarifa !
Hilo linajulikana, lakn sasahv ni kama ulimwengu unataka watu wanaoongea ongea sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom