Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,701
- 218,227
Mh. Mwakyembe amekurupuka kutoka Dar es salaam kuja kufanya mikutano , hivi sasa inasemekana yuko kata ya Ikolo kwa lengo hilohilo , mchana huu atahutubia kwenye viwanja vya Magofu ya NATIONAL MILLING ( ambayo ccm waliyaua kitambo kirefu , yamebaki kuwa mazalia ya panya na wadudu wengine wasio na makazi ) , Karibu na godown walizomgawia Mohamed Dewji.
Sitawaletea Updates , maana sidhani kama atakuwa na jipya zaidi ya longolongo zao za kuwadanganya wajane na mambo ya saccos labda na uongo wa bodaboda kwa vijana wasiojitambua .
Sitawaletea Updates , maana sidhani kama atakuwa na jipya zaidi ya longolongo zao za kuwadanganya wajane na mambo ya saccos labda na uongo wa bodaboda kwa vijana wasiojitambua .