Nguvu ya bikra katika mapenzi

Haha,waswahili bana ndo maana tunabaki kuwa maskini,seriously mnatumia muda wenu kumdiscourage mwana kwa kumpata bikira,saaa kama wew mabikira huwataki kwanin usibaki ivo ivo kimya kimya tu mpaka mmuandame mwenzenu jamani duuh,haha,bikira wanaeza wakawa sio wazuri kama mnavodai nyie lakin kuna sababu wakawa bora kuliko waliotumika jaman,huo ndo ukweli,na pia kuna sababu mswati anataka mabikira tu na hata kingdoms za zamani kule rome na Scotland pia hata mahali pengi duniani walikua wanaheshimu sana haya mambo,jamani mwenzenu akipiga hatua nzuri mpongezeni sio kuwaunga mkono hao malaya wanao gawagawa k zao afu mnawateyea ati ndo wazuri,acheni hayo mambo banaaa...!
 
Ahahahaaahaahaaa.. etiii madunga nyenyeee!! Lakini nyie si ndio mmewafanya wakawa hivyo, mmewadanganya danganya kwa chips na kuwafanyia vi assignment atimae wakawa maskrepaaa!! Sasa hivi nyie hao hao mnawaadhibu kwa kuwaita hayo majina!!? Kweli life haliko fair kabisa
 
nishawahi kuwa na hawa wanaojiita mabikra kama watatu kiukweli ni wasumbufu sio siri, yaani msumbuane wee, nikikutana nae namtanua ila sina mpango wa kuwasaka
nani amekwambia bikira zinasakwa? mkuu bikira hazisakwi kabahati tu kanakudondokea kama kalivyonidondokea. teh
 
Mwenyewe nimekuja mbio mbio nikitegemea hivyo
 
Raha kweli....jamani bikra raha...mkuu no angu 0756264799...ntatoa zawadi Siku ya harusii yako ...maana mnastahili pongezi.
 
nimewahi au sijawahi kulala na mwanamke mwingine hiyo ni nje ya mada. mi najaribu kuelezea hisia zangu. kumegewa ni hiyari, nikiamua nataka nimegewe nitamegewa. kama unahisi nimekutukana, samahani mkuu.
 
Ameeen, umepata kitu chema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…