Nguvu ya bange.

Nguvu ya bange.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Tunaambiwa na madokta kwamba maziwa ni mazuri kwa afya na yanaleta nguvu mwilini.Okay,nenda kanywe lita 5 za maziwa halafu kajaribu kusukuma ukuta,hutaweza kamwe..........................Hebu piga misokoto miwili ya bange.Mwenyewe utajionea huo ukuta una-move automatically.Bangini zaidi ya dawa.
 
hebu kunywa maziwa lita 5 kama utaweza kuanzisha thread ya hivi, lakini hebu vuta misokoto 2 miwili ya bange unaweza anzisha thread za mtindo huu hata kumi, utajionea hizo pumba zinakuja automatically.
 
hebu kunywa maziwa lita 5 kama utaweza kuanzisha thread ya hivi, lakini hebu vuta misokoto 2 miwili ya bange unaweza anzisha thread za mtindo huu hata kumi, utajionea hizo pumba zinakuja automatically.
Sana tu mkuu wa choo.
 
Mwe..!hivi kwel zinaweza zikaja pumba.!?ngoja 2subiri 2one.
 
... Ukipiga ile kitu stress zinazoletwa na wabishi wa town zinapungua.
...Mtu akikuzingua unamwambia kama huna shs 200 piga mbizi.
... Kama vipi soma hapo chini pia!
 
hebu kunywa maziwa lita 5 kama utaweza kuanzisha thread ya hivi, lakini hebu vuta misokoto 2 miwili ya bange unaweza anzisha thread za mtindo huu hata kumi, utajionea hizo pumba zinakuja automatically.

Well said to him
 
Mwanzisha thread inaonyesha wewe ni mvutaji mzuri wa hiyo bangi
 
Mwanzisha thread inaonyesha wewe ni mvutaji mzuri wa hiyo bangi
Don't halt hating my hits,ni mvuta bangi yule asiyejua matumizi ya jukwaa la utani!
 
... Ukipiga ile kitu stress zinazoletwa na wabishi wa town zinapungua.
...Mtu akikuzingua unamwambia kama huna shs 200 piga mbizi.
... Kama vipi soma hapo chini pia!

Hiv unajua waliofaulu wewe? Umebahatisha kithree chako cha mwisho af 8najisifu eti nilifaulu PCB , Ur dad alikuonea huruma ukienda huku utakufa bure nakuishia kudisco, kwanza kijana unaonekana huna self determination coz kama ni hivyo ungesoma EGM au ECA mapema lakin kwavile hujielewi ukajichomeka kwenye fani za watu . Futa ujinga wakko apa usiboe watu bila Dr.ungeishi mpaka leo wewe?
 
hebu kunywa maziwa lita 5 kama utaweza kuanzisha thread ya hivi, lakini hebu vuta misokoto 2 miwili ya bange unaweza anzisha thread za mtindo huu hata kumi, utajionea hizo pumba zinakuja automatically.
Mkuu wa chuo acha hizo mbona thread imetulia
 
Hiv unajua waliofaulu wewe? Umebahatisha kithree chako cha mwisho af 8najisifu eti nilifaulu PCB , Ur dad alikuonea huruma ukienda huku utakufa bure nakuishia kudisco, kwanza kijana unaonekana huna self determination coz kama ni hivyo ungesoma EGM au ECA mapema lakin kwavile hujielewi ukajichomeka kwenye fani za watu . Futa ujinga wakko apa usiboe watu bila Dr.ungeishi mpaka leo wewe?
Mkuu we ndo unaonekana mvuta bhangi,mtu kaendana na maudhui ya thread sasa sijui unatoa povu za nini
 
Ivi kuna mtu alishawahi kuvuta atueleze inakuwaje?
 
Back
Top Bottom