Nguvu na maajabu ya uchawi

Nguvu na maajabu ya uchawi

Kwa nin wachawi wanashindwa kuingia bank na kujichukulia pesa?
Rabda tu niseme wachawi wanaenda Bank as usual, ukiwa na 3 eye utaona biashara zao zikiendelea na wakienda bank ku weka nakutoa pesa, kuchukuwa mikopo n.k, Dunia ina pande mbili...
 
nyaya za umeme ziligoma kupitisha umeme huko mkoani iringa kijiji kimoja kinaitwa tanangozi kwenye kaburi la mzee kiyeyeu ila baada yazile nguzo kuchepushwa umeme uliendelea kuwaka kama kawaida nadhani waliosoma tosamaganga wanajua vizuri ishu iyo uyo mzee alikua mchawi kufuru uko iringa
Kwenye hilo kabuli hakuna uchawi wowote, kinachotokea hapo ni kwamba kuna baadhi ya binadamu mifupa yao hua na aina Fulani ya nishati (******) hususani ndugu zetu wenye albinism japo sio wote.

Nishati hii ushabihiana nguvu na mercury nyekundu, watu wa design hii au wenye kalama hiyo ata wakipanda magari sometimes yanazima kabisa kutokana na namna wanavyoua nguvu za ile energy iliyopo kwenye either petrol au diesel inategemeana na gari husika. Na ata akishuka yeye itachukua muda gari kuwaka au isiwake kabisa mpaka watakapo toa hayo mafuta na kuweka mengine.

Anyway! Ni elimu pana kidogo na sio rahisi nikaeleweka.
 
Kwenye hilo kabuli hakuna uchawi wowote, kinachotokea hapo ni kwamba kuna baadhi ya binadamu mifupa yao hua na aina Fulani ya nishati (******) hususani ndugu zetu wenye albinism japo sio wote.

Nishati hii ushabihiana nguvu na mercury nyekundu, watu wa design hii au wenye kalama hiyo ata wakipanda magari sometimes yanazima kabisa kutokana na namna wanavyoua nguvu za ile energy iliyopo kwenye either petrol au diesel inategemeana na gari husika. Na ata akishuka yeye itachukua muda gari kuwaka au isiwake kabisa mpaka watakapo toa hayo mafuta na kuweka mengine.

Anyway! Ni elimu pana kidogo na sio rahisi nikaeleweka.
Sio kweli
 
Hii ndio shida ya kutokutembea, unazaliwa Dar es salaam unazeekea dar es salaam lazima useme hakuna uchawi.
Mkuu mbona Dar yenyewe ni Makao makuu ya uchawi yaani ile mikoa iliyokua ikivuma kwa uchawi sasa haifui Dafu Dar es salaam, Dar pamoto sasa vgagula wote unaowajua wewe wapo ktk hili jiji....
 
Ukifanikiwa nikumbuke
Mlipu, humbula, nyota nyeupe, kaka kuona, ndege huko mjini mnaita nyangenyange, kivumbasi,mchanga wa sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi, majani saba aina tofauti, damu ya ng'ombe mweupe, chungu, udi ule wa dua unafaa, asali.
Changanya mchanganyiko wako wote kwenye chungu kwa manuizi unayotaka baada ya hapo weka kwenye jua kali choma udi na ubani kwa manuizi jua likianza kuzama kabla ya giza saa 12 kamili peleka kwenye biashara yako kabla hujaiweka unaweza kusafisha kwa chumvi ile pure au chochote ambacho huwa unasafishia. Unaweza kuchimbia au kuweka juu ya duka lako. Kaa usubiri matokeo!
Mamaee na bado watu masikini

Unajua nini....biashara ni nyota kama huna nyota ya biashara hata uhangaike vp hutoboi kamwe
 
Back
Top Bottom