Tunauza
Nguruwe. Ni wa ukubwa tofauti na Mbegu tofauti (tunauza kuanzia wa miezi
3 na kuendelea). Wana afya njema na wanakuzwa kwa matunzo yanahitajika
kitaalam. Tupo Wilaya ya
Kwimba Mkoani Mwanza.
Bei ni nafuu sana, kama huna
usafiri tunakuletea wenyewe (utalipia gharama kidogo za usafiri baada ya kupata mzigo wako).
Njoo
PM kwa anayehitaji.
Biashara ni endelevu
View attachment 487448 View attachment 487449