Nguo ya dushelele

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
Mlevi mmoja aliingia pharmacy na kusema "tafadhali nipatie condom" Mhudumu akabwatuka na kusema "Kaka mbona huna heshima? si uagize kwa lugha nzuri?" Jamaa akaona isiwe taabu, akafungua zip na kutoa dushelele yake na kuiweka mezani kisha akamwambia mhudumu "Tafadhali dada naomba unipatie nguo ya hii kitu" huku akiigusa kwa kidole!
 
Kwa hiyo huyo mlevi alikata dushelele yake na kuiweka mezani au.....
 
Kwa hiyo huyo mlevi alikata dushelele yake na kuiweka mezani au.....
Mlevi mmoja aliingia pharmacy na kusema "tafadhali nipatie condom" Mhudumu akabwatuka na kusema "Kaka mbona huna heshima? si uagize kwa lugha nzuri?" Jamaa akaona isiwe taabu, akafungua zip na kutoa dushelele yake na kuiweka mezani kisha akamwambia mhudumu "Tafadhali dada naomba unipatie nguo ya hii kitu" huku akiigusa kwa kidole!

alifungua zipu na kutoa dushelele sio kukata!
 
hahahahahaha...kazi kwelikweli,katumia lugha rahisi sasa.
 
Mbona mwalevi mwawasingizia mambo mengi ivyo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…