Nguo fupi zitawaletea matatizo

Nguo fupi zitawaletea matatizo

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
Wanachotaka kumfanya huyu sijui... ila hizi nguo fupi madada zetu wawe wanaangalia na mazingira... ni ushauri tu msije mkaniletea za Kagame hapa...

hj.png
 
Kapendeza sana,big up maviwanda ya nguo pufi!
 
Tuliowapa jukumu la kupambana na hiyo mivao ndo haohao wanaovutiwa nayo,
 
Na waswahili wana nyegeri mshindo ubakaji sekunde tu!
 
Hao vijana watakuwa wamevurugwa,mbona hiyo nguo iko poa?
 
Hao vijana watakuwa wamevurugwa,mbona hiyo nguo iko poa?
Halafu wanavyomfuata kimya kimya ndo inaonesha kweli wamevurugwa vibaya sana....bado wanatafakri wamfanye nin, cheki kama huyo mwenye jacket la kaki
 
Mmh sijaona tatizo la hicho ki mini skirt, kweli tuna safari ndefu ya kuendelea. Je hayo majibaba yangedondoshwa brazil sipati picha!
 
Wanachotaka kumfanya huyu sijui... ila hizi nguo fupi madada zetu wawe wanaangalia na mazingira... ni ushauri tu msije mkaniletea za Kagame hapa...

hj.png

Kama hiyo nguo inaonekana fupi sana kiasi cha haya mashamba kuacha kazi zao basi hiyo jamii imejaza majitu mabakaji ambayo yanaweza baka hata mama na dada zao wakitoka bafuni!
 
Back
Top Bottom