Ngumi iliyookoa Maisha yangu...!

Ngumi iliyookoa Maisha yangu...!

Du jamaa yangu pole sana maana hata mm siamini ilikuweje ukapata ujasiri wa kumpiga wa mbele ukamuacha aliyekukaba kumbe wa mbele anaenda gonga lori
Je hiyo Toyota 100 Limited ilipona au uliinyoosha na kuiuza?

Ni mambo ambayo yaliwazwa chini ya sekunde na kufanyiwa uamuzi!! ndio maana [MENTION][/MENTION]Mokoyo anasema ni Mkono wa Mungu!

Gare Niliuza ikiwa vile vile imebondwabondwa!.....
 
Kwanza ahakikishe anapata haki miliki ya hii story maana Shigongo akiiona atatunga kisha aseme ni yake na akusanye mpunga wa kutosha

Chakaza[MENTION][/MENTION] umenichekesha mno!!
Inabidi Uongozi wa JF Uziwekee kinga stori kama hizi ili kuzilinda...atakaetumia awe anatoa kiasi fulani kwa JF!
 
hii yote ni katika kuongeza kipato...... ee jamani pesa zina mambo!!!
pole mwaya!

kweli ndugu, lakini kazi skuifanya tena....nikazichanga nikaenda kupiga kitabu wakati huo nilikuwa kijana mdogo tu...sasa hivi shule imeisha nafanya kazi ya maana tu Serikalini, Namshukuru alieniumba!
 
Duu! RIP kama ungekufa.

Duh, we bhana umefanya frustration zangu za mshahara mdogo wenye makato makubwa na biashara zangu zinazoyumba nizisahau kwa muda leo.khe kheeeeeee kheeeee........!
 
Aisee kuna watu hawana huruma kweli..pole ndugu yangu japo ni siku nyingi lakini kumbukumbu hazitoki kichwani
siku hizi tunaishi kama simba na swala mbugani..ukikosea tu wanakupiga
upigaji imekuwa ni ajira na watu wanajivunia kuufanya kwa style yoyote bila kujali madhara,nondo,kabali,dolomee,kakumba,documaa etc etc
 
Mungu bado anakupenda zaidi.

Ongeza maombi na sala zaidi katika imani yako.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!!
 
Aisee kuna watu hawana huruma kweli..pole ndugu yangu japo ni siku nyingi lakini kumbukumbu hazitoki kichwani
siku hizi tunaishi kama simba na swala mbugani..ukikosea tu wanakupiga
upigaji imekuwa ni ajira na watu wanajivunia kuufanya kwa style yoyote bila kujali madhara,nondo,kabali,dolomee,kakumba,documaa etc etc

I see inatisha sana Inkoskaz jamaa wanaamua kukuua tu hivihivi, si wachukue mali yao then wasepe??!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom