Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,556
- 1,784


Anafahamika kwa jeuri yake na uwezo wake wa kupiga gita ya solo,mwimbaji pia na alikuwa kiongozi wa bendi ya Matchatcha ya kisangani.
Hakika watu kama Kanda Bongoman, Pepe Kale, Franco na Arlus Mabele hawata msahau bila kusahau bendi yangu ileee ya Africa Bella Bella..
Aliweza kuimba na kupiga gitaa kwenye bahadhi ya nyimbo kama Anni Amour,Bana congo,Maria, Elizabeth n.k
Ni bahadhi ya Nguli wa gitaa Afrika na dunia hasa ktk mtindo wa 'sukuous' amboa ulikuwa ndio mtindo unaoshirikisha vioungo vyote vya mwili kucheza, kanzia kiuno (LOKETO) n.k
Amezaliwa mwaka ulionzishwa bendi ya TP OK Jazz..
Reference: African Music Encyclopidia
Unamfahamu vipi Diblo, napenda kujua yuko wapi na anafanya nini..tusaidiane..