Ndio maumbile yake alivyoumba Mwenyeezi Mungu hakuna makosa kwani wewe ulitakaje zaidi anavyoumba Mungu? Mkuu natamba?kwa nini mtoto mchanga aliyezaliwa anakuwa na ngozi kama ya wazungu na baadae anakuwa mweusi, lkn watoto wachanga wa wazungu hawabadiliki kuwa weusi. ikoje kitaalam.
Kwani Mzizimkavu ni daktari ama biologist? mimi sielewi jamani.