bado kinatumika ni kitabu cha kujibia swali la tamthilia.
kilikuwa kinafundisha kutokuchanganya mapenzi na kazi, kama ngoswe alivyofanya akaharibu kazi karatasi za sensa zikachomwa na mzee mitomingii,
na pia kinaelezea madhara ya imani za kishirikina kwenye jamii nyingi za kitanzania, watu walidhani wanaohesabu watu ni wachawi tu kwa ajili ya kuwala nyama.
dah1 nakumbuka mbali sana those days