kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 266
Ngoswe:
Penzi Kitovu Cha Uzembe
by Edwin Semzaba
long time wenye data mtuambie kitabu hiki kilikuwa na dhima gani kwa jamii??mie nakumbuka tu kama kilikuwa kinaelezea mambo ya ufisafi hv na wahusika walikuwepo kama ngoswe mwenyewe na mzee ngengemkeni mito mingi hv bado kinatumika mashuleni kwenye fasihi ya kiswahili?
Penzi Kitovu Cha Uzembe
by Edwin Semzaba
long time wenye data mtuambie kitabu hiki kilikuwa na dhima gani kwa jamii??mie nakumbuka tu kama kilikuwa kinaelezea mambo ya ufisafi hv na wahusika walikuwepo kama ngoswe mwenyewe na mzee ngengemkeni mito mingi hv bado kinatumika mashuleni kwenye fasihi ya kiswahili?