Ngono mara ngapi kwa wiki

Ngono mara ngapi kwa wiki

Nawashauri vijana wenzangu msifanye sana mapenzi kabla ya kuoa. Ukishaoa ukatulia hamu ya zile show za kibabe za kukomoa, za kuonja kila demu mkali hazipo tena.

Ukiangalia uume utauonea huruma umekaa kiuzuni, ulitumika sana, unapiga viwili hamu hakuna.

Nadhani wanaume waliojitunza ujana wao wakiingia kwenye ndoa wanakuwa na hamu sana ya kusex kila mara kuliko wale wanaume waliokuwa malaya uume una expire




Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu kama hicho..
 
Bado vitumbua mkuu... sukari umeikadiria vizuri tu
Nawashauri vijana wenzangu msifanye sana mapenzi kabla ya kuoa. Ukishaoa ukatulia hamu ya zile show za kibabe za kukomoa, za kuonja kila demu mkali hazipo tena.

Ukiangalia uume utauonea huruma umekaa kiuzuni, ulitumika sana, unapiga viwili hamu hakuna.

Nadhani wanaume waliojitunza ujana wao wakiingia kwenye ndoa wanakuwa na hamu sana ya kusex kila mara kuliko wale wanaume waliokuwa malaya uume una expire




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawashauri vijana wenzangu msifanye sana mapenzi kabla ya kuoa. Ukishaoa ukatulia hamu ya zile show za kibabe za kukomoa, za kuonja kila demu mkali hazipo tena.

Ukiangalia uume utauonea huruma umekaa kiuzuni, ulitumika sana, unapiga viwili hamu hakuna.

Nadhani wanaume waliojitunza ujana wao wakiingia kwenye ndoa wanakuwa na hamu sana ya kusex kila mara kuliko wale wanaume waliokuwa malaya uume una expire




Sent using Jamii Forums mobile app
Na waliojichua je?


Wanaabstain lakin wanajichua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara moja kwa siku...., mara kumi kwa wiki......,mara mbili kwa mwezi...
 
Inategemea na mood mzee kuna siku unaweza kuamka mwili na akili viko fresh ukashinda home na wife watoto wako kwa bibi huko ukagonga hata mara6 usiku ukamaliza na viwili na asubui ukatoa loki, lakini man kama mipango huku nje haiendi mambo si mambo mi maweza kaa hata wiki nisimguse yaan hapo akili iko ktk kutafta pesa tu , labda yeye aoneshe dalili za kuhitaji, ila ki kawaida ni kila siku kama pesa ipo mfukon ma acc inasoma vzr, aisee hapo ni kula tu mambo mazuri maana kile kidude hakiishi hamu
 
Back
Top Bottom