bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Absolutely right, angalia kwa watu waliochokana tayari na ambao hakuna mapenzi tena kati yao, hata kupeana chakula cha chumbani ni kwa mbinde. kwa wanopendana ni dhahiri kuwa watakuwa wana furaha kukutana faragha na kufanya tendo la ndoa, na tendo la ndoa hudumisha na kuongeza ukaribu kwa wanandoa, kwani ni hapo ambapo wapendanao huwasiliana kwa hisia za moyoni hasaa. Therefore kwa maoni yangu binafsi "TENDO LA NDOA, aka NGONO" ni mojawapo ya vipimo vya mapenzi.
I stand to be corrected
I stand to be corrected