Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
wanasayansi wa nchi hii sjui wantuonaje SS kwamba hatujitambui au n kizaz kisicho hoji
Ripoti ya mto Mara juu ya vifo vya samaki imeniacha na maswali lukuki
Nina ng'ombe wawil hapa Tena nawafuga kisasa kwa kuwapa chakula kwa wakat lakn hawajawah kutoa kg 10 za kinyes kwa siku
Nadhan uprofes sio kusoma wanapewa TU
Sisi wengine tumekulia familia za kifugaj na kivuvi tuliowah chimba/mabwawa au visima vya samak nadhan mtakubaliana na mm tulikuwa tunaambiwa tuweke KINYESI cha wanyama katka visima vya samaki au mabwawa mbona samak hawakufa
***************
Kumbe hii taarifa ina mkanganyiko Zaid sijui tumuamin Nan Kat ya haya makundi mawili
Hi n ripoti ya bonde la ziwa viktoria wanasema sababu n mafuta
Lakn yule profesa anasema n kinyesi hakuna hata ukaribu wowote wa ripoti hiz mbili
Tunaomba serikali ituambie imeikubali ripoti ipi Kat ya hizi
Wasilete utani kwenye afya za watu
View attachment 2157420
Ripoti ya mto Mara juu ya vifo vya samaki imeniacha na maswali lukuki
Nina ng'ombe wawil hapa Tena nawafuga kisasa kwa kuwapa chakula kwa wakat lakn hawajawah kutoa kg 10 za kinyes kwa siku
Nadhan uprofes sio kusoma wanapewa TU
Sisi wengine tumekulia familia za kifugaj na kivuvi tuliowah chimba/mabwawa au visima vya samak nadhan mtakubaliana na mm tulikuwa tunaambiwa tuweke KINYESI cha wanyama katka visima vya samaki au mabwawa mbona samak hawakufa
***************
Kumbe hii taarifa ina mkanganyiko Zaid sijui tumuamin Nan Kat ya haya makundi mawili
Hi n ripoti ya bonde la ziwa viktoria wanasema sababu n mafuta
Lakn yule profesa anasema n kinyesi hakuna hata ukaribu wowote wa ripoti hiz mbili
Tunaomba serikali ituambie imeikubali ripoti ipi Kat ya hizi
Wasilete utani kwenye afya za watu
View attachment 2157420