Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,383 33,041 Sep 13, 2012 #1 Hatimaye yule Ngo'ombe mwenye tabia ya kula mazao ya Wakulima ameshikishwa adabu huko Sumbawanga baada ya waliopoteza mazao yao kuamua kumshughulikia kwa kumweka ng'ombe huyo juu ya paa la mwenye ng'ombe.....dah sijui mwenye ng'ombe alimshushaje!
Hatimaye yule Ngo'ombe mwenye tabia ya kula mazao ya Wakulima ameshikishwa adabu huko Sumbawanga baada ya waliopoteza mazao yao kuamua kumshughulikia kwa kumweka ng'ombe huyo juu ya paa la mwenye ng'ombe.....dah sijui mwenye ng'ombe alimshushaje!
Jagarld JF-Expert Member Apr 7, 2011 2,515 3,042 Sep 13, 2012 #4 Chezea wafipa ww na hapo wamemsamehe sana niliona ng'ombe kapigwa busha kama la 50kg
Mangaline JF-Expert Member May 19, 2012 1,045 221 Sep 13, 2012 #5 Uzi huu ulitakiwa uwe jokes, This is not true, tuthibitishieni, tuwaogope wenzetu!! Hii kama ni kweli, basi ni mpya.
Uzi huu ulitakiwa uwe jokes, This is not true, tuthibitishieni, tuwaogope wenzetu!! Hii kama ni kweli, basi ni mpya.