Ng'ombe Matatani!

Kinyungu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
21,600
Reaction score
42,938
Hatimaye yule Ngo'ombe mwenye tabia ya kula mazao ya Wakulima ameshikishwa adabu huko Sumbawanga baada ya waliopoteza mazao yao kuamua kumshughulikia kwa kumweka ng'ombe huyo juu ya paa la mwenye ng'ombe.....dah sijui mwenye ng'ombe alimshushaje!

 
Chezea wafipa ww na hapo wamemsamehe sana niliona ng'ombe kapigwa busha kama la 50kg
 
Uzi huu ulitakiwa uwe jokes, This is not true, tuthibitishieni, tuwaogope wenzetu!! Hii kama ni kweli, basi ni mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…