Ng’ombe 1 = 900K kwa Mwezi!

Ng’ombe 1 = 900K kwa Mwezi!

Ng'ombe wa maziwa ukiwanao 4 tu wanaoweza kutoa lita 10 kwa siku kwa kila mmoja ambao ni chotara unatengeneza hela nzur tu.
Kama haufugi au haujawahi kufuga ng'ombe wa maziwa utaona hizo ni kama hadithi tu lakin ukweli wanalipa.

Kuna mzee nipo nae mtaan ana ng'ombe 1 anauwezo wa kutoa lita 10 asubuh na wengne Lt 4 au 3.5 asubuh, huwa napiga nae story anasema yey halimi hela anapata kupitia ng'ombe hao hao na mashamba anayo.
Naweza kubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom