min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,438
- 127,833
Hapa sisi ndio ng'ombe baada ya kwenda group wasp yake na kauanza lipia shtuka mangiKatika industry ya ufugaji wewe unaplay part gani?
Vet au?
Hapa sisi ndio ng'ombe baada ya kwenda group wasp yake na kauanza lipia shtuka mangiKatika industry ya ufugaji wewe unaplay part gani?
Vet au?
SawaUnatafuta watu wa kuwapiga, Utawapata
Ngoja anijibu kuna maswali ya kitaalamu ntamuuliza.Hapa sisi ndio ng'ombe baada ya kwenda group wasp yake na kauanza lipia shtuka mangi
ama kweli maana kuna n'gombe wa namna nyingi wa kufuga na kuwakamuaHapa sisi ndio ng'ombe baada ya kwenda group wasp yake na kauanza lipia shtuka mangi
😅 kwa kukulahisisia Ingia kwenye Blog yetu. Www.tanzanianakilimo.blogspot.com Utanifahamu vizuri.Ngoja anijibu kuna maswali ya kitaalamu ntamuuliza.
Hapa tunatafutwa ng'ombe wa maziwa ili tukakamuliwe huko wasp group bwasheeama kweli maana kuna n'gombe wa namna nyingi wa kufuga na kuwakamua
Kula m 2Mtamba mwenye mimba million 3.5
SawaHapa sisi ndio ng'ombe baada ya kwenda group wasp yake na kauanza lipia shtuka mangi
kila biashara inalipa. Ni kweli?Ng'ombe wa maziwa ukiwanao 4 tu wanaoweza kutoa lita 10 kwa siku kwa kila mmoja ambao ni chotara unatengeneza hela nzur tu.
Kama haufugi au haujawahi kufuga ng'ombe wa maziwa utaona hizo ni kama hadithi tu lakin ukweli wanalipa.
Kuna mzee nipo nae mtaan ana ng'ombe 1 anauwezo wa kutoa lita 10 asubuh na wengne Lt 4 au 3.5 asubuh, huwa napiga nae story anasema yey halimi hela anapata kupitia ng'ombe hao hao na mashamba anayo.
Hii ni uongo ndugu, itakua ni hasaraKula m 2
Unachokisema ni kweli kabisa na ndio maana wataalamu tupo kuwasaidiakila biashara inalipa. Ni kweli?
Lakini sio kila biashara inalipa. Ni kweli?
Hoja:
ufugaji inategemea unaufanyia wapi? Unaufanyaje? Unauzia wapi? Unauzia akina nani?
Ebu nambie: mtu yupo kijijini unakuta lita ya maziwa elf 1 utalinganisha na yule wa lita ya maziwa elf 3?
Sio mtu unakuja na expectations ya kuingiza laki 9 kwa mwezi kizembe hivyo. Huo unakuwa ni uongo.
Bado ufugaji wa kisasa ni gharama sana hasa hao ng'ombe wanahitaji uangalizi mkubwa. Madawa n.k
siwezi fanya ujinga huo😅 kwa kukulahisisia Ingia kwenye Blog yetu. Www.tanzanianakilimo.blogspot.com Utanifahamu vizuri.
NDUGUU, UKISIKIA UNAITIWA FURSA, KUMBUKA WE MWENYEWE NDO FURSA..Kwa hiyo mafunzo yanalipa sana kuliko kufuga?
Kwa nini usifuge mwenyewe ili upate hizo 900k
Hii ni sawa na kumtoza mtu pesa ili umfundishe kubeti, kama unaamini beti Mwenyewe ili upate mihela mimgi
Motivation speaker in town
Hizi ni kauli za wavivu na masikiniNDUGUU, UKISIKIA UNAITIWA FURSA, KUMBUKA WE MWENYEWE NDO FURSA..
YAANI HAPO NG'OMBE WA MAZIWA NI WEWE MWENYEWE UNAYEITWA
Huo sio msaada mkuu.Unachokisema ni kweli kabisa na ndio maana wataalamu tupo kuwasaidia
Uko sahii ila sisi sio motivation speakers ni wataalamu na wafugaji wa muda. Unaweza kufahamu zaidi kuhusu sisi. Youtube @RubabaTv Blog. Tanzania na KilimoHuo sio msaada mkuu.
Hapa unachokiangalia wewe ni kuuza bidhaa yako. Na kuvutia mteja kwa kumwambia laki 9 inaingia kizembe hivyo.
Ninyi ni moja ya watu mnao changia watu kupata hasara. Sasabu unatumia Sales pitch words katika biashara zenu bila kujali matokeo ya upande wa pili.
Sorry.: nimeongea kwa mtazamo wa wale motivation speaker
HUJATUAMBIA PIA GHARAMA ZA MALISHO, CHANJO, nk ili tujue faida ya huyo ngombeUnasikia vizuri kabisa!
Ng’ombe mmoja wa maziwa anaweza kukuingizia hadi Tsh 900,000 kwa mwezi
✨ Ushuhuda huu unatoka kwa wafugaji waliopata
✅ Ng’ombe Bora
✅ Mafunzo ya Kitaalamu
kutoka kwetu!
Na wewe unaweza!
⏰ Usichelewe – fursa bado ipo!
Wasiliana nasi leo:
📞 0764 148 221
Upate Ng’ombe Bora au Mafunzo ya Ufugaji Kibiashara.
#NgombeWaMaziwa #FursaZaKilimo #KilimoBiashara
#NgombeBora #MaziwaNiBiashara #FugaKibiashara
#RubabaMedia #UfugajiWaKisasa #TanzaniaNaKilimo
Hata wale wa forex walikua wanasema kama weweHizi ni kauli za wavivu na masikini
Tumeshachambua hilo kwa kina katika post zetu za nyuma.HUJATUAMBIA PIA GHARAMA ZA MALISHO, CHANJO, House boy, nk ili tujue faida ya huyo ngombe
Kama uongo upo basi hata ukweli hupoHata wale wa forex walikua wanasema kama wewe