uroto
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 445
- 231
Habari wanajukwaa
Nimekuwa mfatiliaji wa muziki wa hiphop kwa mda mrefu, nyimbo nyingi zimetoka hivi karibuni,ila hii ya young killer imenifanya kuukumbuka mziki mzuri wa hiphop
baadhi ya punchline zake
1-hata sauti inapaa ila huwezi kuezeka nyumba
2-nakula sana story,ila sioti kitambi
3-ndo utajua nawa tule na yaya toure wana undugu,nipe pasi ninyooshe miguu
4-kujiongeza kwenye hakuna ni tumizi baya la akili
5-usibebe tango lote babby,ka vp tukatiane
daha ngoma kali sana hii
Nimekuwa mfatiliaji wa muziki wa hiphop kwa mda mrefu, nyimbo nyingi zimetoka hivi karibuni,ila hii ya young killer imenifanya kuukumbuka mziki mzuri wa hiphop
baadhi ya punchline zake
1-hata sauti inapaa ila huwezi kuezeka nyumba
2-nakula sana story,ila sioti kitambi
3-ndo utajua nawa tule na yaya toure wana undugu,nipe pasi ninyooshe miguu
4-kujiongeza kwenye hakuna ni tumizi baya la akili
5-usibebe tango lote babby,ka vp tukatiane
daha ngoma kali sana hii