severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,397
Understanding nini!?Kuna wimbo aliimba na TID, kama sijakosea.
Understanding nini!?Kuna wimbo aliimba na TID, kama sijakosea.
Sawa sawa, hakika.Understanding nini!?
Nshashindwaga kupandisha nyimbo hapa,tatizo cjui ni nini au labda kwa sababu natumia simuSawa sawa, hakika.
Iv kuna wimbo una mstari huu,,,, lisa mama unanitesa sababu ya nini... Ni wa nan??Nna nyimbo za Bongo fleva zaid ya 900 za Kitambo kwa anayehitaj aje PM
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante brother.Kaimba R tony na vumi wimbo unaitwa Lisa
Mkuu hu wimbo nnaipataje?Kaimba R tony na vumi wimbo unaitwa Lisa
Jamani hivi ni mimi Sijui mziki?
Hata hiii Ngoma hamjaionaa?
1. Malaika Nyashiski
2.Bembeleza -Marlow
aeiou
Mwana FA ft Kiba unaitwa KIBOKO YANGU.Nimekusamehe mpenzi ,buibui
Mawazo,buibui
Inatosha,msanii Mpya
Siku kama hiz,tid
Nyimbo za Alice kela
Ommydimpo kajiandae
mwanafaa , ft kiba siikumbuki jima
Diamond, ukimuona
Benipol Pete
Alikiba maumivu
Kasim mchawi, awena
Switcher baby your my